Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm sio wa kuwaamini ata siku moja
Wasituone wajinga
Wao ndo wameingilia soko, wangeacha soko lijipangie
Heri angenyamaza na siyo kuongea huo ugoro usio na vitendo
haya makampuni nao wameona serikali ni ya oya oya ,ingekuwa kipindi cha Magufuli haya mabadiliko yasingekuwa yanafanyika hovyoWatende sasa, na sio kutufanya wapumbavu.
Habari wakuu?
Hii ni habari njema wadau wenzangu, twaisubiri kwa hamu.
View attachment 2328754
Ahsanteni wananzengo
Kweli nyie serikali mko makini sana kuwajali watu wenu maana kabla ya serikali yenu ya awamu siita buku nilikuwa napata 1GB VIP kwa sasa imekuwa kiasi gani ndg Nepi nahuyeKufuatia mjadala wa kupanda kwa gharama za vifurushi kwa watumiaji wa Data kwenye mitandao ya kijamii, Waziri ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kupitia Ukurasa wake wa Twitter ametoa ufafanuzi kwamba baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, alichukua hatua ya kushusha gharama za data.
Waziri Nape amesema mwezi Machi 2021 bei ya juu ilikuwa ni Tsh. 40.04 kwa MB 1, lakini ilipungzwa na kufikia Tsh. 9.35 kwa MB 1 mwezi Agosti 2022.
Kumekuwepo na mjadala kupitia mitandao ya kijamii hususani Twitter, JamiiForums na kwenye kurasa nyingine kuhusu kupanda gharama za vifurushi vya mitandao ya simu ikiwemo gharama za Data (Internet) bila utaratibu ambao ni shirikishi wa watumiaji.
Kwa mujibu takwimu Watumiaji wa Internet kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) ripoti ya robo ya nne ya mwaka 2021 zinaonesha Watumiaji wa intaneti walifikia milioni 29.8.
=======================
haya makampuni nao wameona serikali ni ya oya oya ,ingekuwa kipindi cha Magufuli haya mabadiliko yasingekuwa yanafanyika hovyo