Waziri Nape Nnauye asema bei ya internet imeshuka wakati wa Rais Samia ukilinganisha na Machi 2021

Shida ya Nape hajui hata bei ya data. Nyumba yake iko connected. Ofisi yake iko connected free. Bado ana Phone allowance 1 million per month
 
"Haya mambo nyie acheni tu."ni msela wangu mmoja mpole sana,kila akichanganywa na jambo huishia kusema hivi!
 
Watende sasa, na sio kutufanya wapumbavu.
haya makampuni nao wameona serikali ni ya oya oya ,ingekuwa kipindi cha Magufuli haya mabadiliko yasingekuwa yanafanyika hovyo
 
Sijawahi kuwaelewa Nape na Mwigulu, nadhani watu wenye roho mbaya ya kichawi, kiburi na wabinafsi ,hawafanyi mambo kwa ajili ya wananchi wanafanya mambo yanayowafaidisha wao na watawala.

Hawa majamaa heri hata Mungu awatangulize mbele ya haki hasa Mwigulu
 
Kweli nyie serikali mko makini sana kuwajali watu wenu maana kabla ya serikali yenu ya awamu siita buku nilikuwa napata 1GB VIP kwa sasa imekuwa kiasi gani ndg Nepi nahuye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…