Na kabla alikuwa foreign affairs miaka kumiTena waambie huko us $200,000 tu unapata nyumba
Mbona huku bongo unakuta mbweni huko mtu kajenga nyumba kagaramia
Mln 600,000
Sasa ukirudi kwa jk urais wote atashindwa kweli kumiliki mjengo usa
Ova
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Tuwaulize wanao tafutana na kupanguana usiku na mchana kupakimbilia! Pango la ulanguzi!Ikulu kuna biashara gani?
Wabongo wana gubu sana mkuuNa kabla alikuwa foreign affairs miaka kumi
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Furaha ni kufurahi na marafiki nduguMkuu, Hivi umekusudia kutuonyesha birthday party ya Uweso au umekusudia kutujulisha kwamba JK anayo nyumba New york au kuna kitu kingine kimejificha katika hizo picha ndicho msingi wa hii mada yako!??, kwasababu Birthday party sio jambo la ajabu sana wala sio ajabu kwa mtu kama JK kwa hadhi yake kuwa na nyumba Ulaya na hata sehemu yoyote ya dunia.
ndo maana yake na wewe jipange ufanye hivyo hivyo. Zipo nchi kibao!!!Usikute hata wana uraia pacha hawa. Hawa si wenzetu.
Kama utaona chawa wanachangia hapa nishitue, niache kunywA kahawa kwanzaJK ni mmarekani huyo, ni kama yuvisisiemu wanavyomuita Tundu Lissu mberigiji
Furaha ni kufurahi na marafiki ndugu
Mbona na wao wa US wanamiliki vitalu bongo 😀Huyu Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ana nyumba anayo miliki U.S.A ?
Kwani hiyo nyumba amenunua akiwa 80s 😀Kuwa na nyumba US wakati una miaka 80 ina faida gani? Au kwa faoda ya Rizwani? Sii angejenga hata hoteli hapa tz watu wakapata kazi ?
Life is goodKumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Na wanazikomesha kweli!!! Mara ziko uchina, zingine uswis,. Gavana wetu wakati ule hata alipolala hatukuonyeshwa.Acha stress "blaza" mimi sio maarufu kama hawa "wazalendo" wetu tunaogharamikia maisha yao kupitia kodi zetu
Ay mwenyewe alinunua nyumba huko
Au unasemaje mzee mwenzangu
Ova
kumbe Marekani sawa na bongo2Marekani hata mtanzania mwenye mln 300,400 Ana nunua nyumba huko
Akitaka
Ova
Wewe ni mshambaSawa lakini mambo ya kulishana keki ni mambo ya maharusi, mimi naona jambo hilo haliko sawa hata kidogo, Mungu anisamehe kama nafikiria kinyume na taratibu.