Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

View attachment 2565319

View attachment 2565320
View attachment 2565321


Siamini macho yangu!!, ni kweli analishwa keki au !!!??😏😏😏😏
 
Nimesoma comments zote hadi page ya 4 nimegundua wengi hapa wana chuki na hasira kali sana zinazosababishwa na umaskini wao na familia zao. Mh Jakaya kwa sasa ana vyeo vikubwa sana kidunia kwa mfano mojawapo ya cheo chake kwa sasa ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Global Partner for education na hata juzi niliona katoa tamko kulaani vitendo vya Taleban kuzuia watoto wa kike kupata elimu. JK ana vyeo vingine huko UN hali inayomlazimu kuwepo nchini Marekani mara nyingi sana. Kwa hadhi yake ni lazima UN wangempatia tu nyumba endapo JK angeona sio poa kukaa five star hotel kila mara. Hata mimi ningechagua kuwa na nyumba ndani ya New York kuliko Five Star Hotel.

Hata tuki-assume kwamba nyumba ni yake kajenga au kanunua pia JK asingeshindwa kufanya hivyo. Mtu alikuwa waziri wa fedha enzi za mwinyi na akaja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 atashindwaje kununua nyumba? Isitoshe akamalizia kwa kuwa Rais wa nchi kwa miaka 10. Na kikatiba ana mshahara 80% ya mshahara wa rais aliye madarakani kwa maisha yake yote baada ya kustaafu. Pia tukiachana naye binafsi hivi yeye, Ridhiwani na Mama Salma wakiamua wachange hela baba awe na nyumba New York watashindwa?

Punguzeni hasira ili muweze kutumia akili zenu kwa usahihi. Hapa duniani hatuwezi kuwa sawa. Marehemu peke yao ndo wako sawa. Tulio hai ni kupeana vichapo tu hakuna namna.
 
Nimesoma comments zote hadi page ya 4 nimegundua wengi hapa wana chuki na hasira kali sana zinazosababishwa na umaskini wao na familia zao. Mh Jakaya kwa sasa ana vyeo vikubwa sana kidunia kwa mfano mojawapo ya cheo chake kwa sasa ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Global Partner for education na hata juzi niliona katoa tamko kulaani vitendo vya Taleban kuzuia watoto wa kike kupata elimu. JK ana vyeo vingine huko UN hali inayomlazimu kuwepo nchini Marekani mara nyingi sana. Kwa hadhi yake ni lazima UN wangempatia tu nyumba endapo JK angeona sio poa kukaa five star hotel kila mara. Hata mimi ningechagua kuwa na nyumba ndani ya New York kuliko Five Star Hotel.

Hata tuki-assume kwamba nyumba ni yake kajenga au kanunua pia JK asingeshindwa kufanya hivyo. Mtu alikuwa waziri wa fedha enzi za mwinyi na akaja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 atashindwaje kununua nyumba? Isitoshe akamalizia kwa kuwa Rais wa nchi kwa miaka 10. Na kikatiba ana mshahara 80% ya mshahara wa rais aliye madarakani kwa maisha yake yote baada ya kustaafu. Pia tukiachana naye binafsi hivi yeye, Ridhiwani na Mama Salma wakiamua wachange hela baba awe na nyumba New York watashindwa?

Punguzeni hasira ili muweze kutumia akili zenu kwa usahihi. Hapa duniani hatuwezi kuwa sawa. Marehemu peke yao ndo wako sawa. Tulio hai ni kupeana vichapo tu hakuna namna.
Watu wana hasira kweri kweri [emoji1]
Wanaona ajabu jk kuwa na nyumba usa
Mbona kitu cha kawaida sana hicho kwa jk

Ova
 
K
Hata Mobutu alikuwa na nyumba Paris,Côte d'Azur .Tatizo Kikwete alijificha enzi za Magufuli hatukuona mapicha kama haya.
Kwamba alimuogopa yule mshamba aliyempigania mwenyewe aingie ikulu!!!?..magu hakujua Kama jk ana nyumba USA!?..
 
Nimesoma comments zote hadi page ya 4 nimegundua wengi hapa wana chuki na hasira kali sana zinazosababishwa na umaskini wao na familia zao. Mh Jakaya kwa sasa ana vyeo vikubwa sana kidunia kwa mfano mojawapo ya cheo chake kwa sasa ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Global Partner for education na hata juzi niliona katoa tamko kulaani vitendo vya Taleban kuzuia watoto wa kike kupata elimu. JK ana vyeo vingine huko UN hali inayomlazimu kuwepo nchini Marekani mara nyingi sana. Kwa hadhi yake ni lazima UN wangempatia tu nyumba endapo JK angeona sio poa kukaa five star hotel kila mara. Hata mimi ningechagua kuwa na nyumba ndani ya New York kuliko Five Star Hotel.

Hata tuki-assume kwamba nyumba ni yake kajenga au kanunua pia JK asingeshindwa kufanya hivyo. Mtu alikuwa waziri wa fedha enzi za mwinyi na akaja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 atashindwaje kununua nyumba? Isitoshe akamalizia kwa kuwa Rais wa nchi kwa miaka 10. Na kikatiba ana mshahara 80% ya mshahara wa rais aliye madarakani kwa maisha yake yote baada ya kustaafu. Pia tukiachana naye binafsi hivi yeye, Ridhiwani na Mama Salma wakiamua wachange hela baba awe na nyumba New York watashindwa?

Punguzeni hasira ili muweze kutumia akili zenu kwa usahihi. Hapa duniani hatuwezi kuwa sawa. Marehemu peke yao ndo wako sawa. Tulio hai ni kupeana vichapo tu hakuna namna.
Sahihi, hata mzalendo Nyerere angeweza kufanya hivyo kama angekua hai
 
Back
Top Bottom