Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi


Kigwangala nae alifanyiww vetting ya uwaziri?
 
nilitegemea mngemchallange yeye wazir na wizara yake,Cha ajabu mnamjadili mzee wa watu na ndoa yake...akipita humu akaona yanayoendelea,atakuwa disappointed Sana.

Bila shaka alikubali picha yake iwekwe public,acha wana nzengo wamjadili kinaga ubaga.
 
Na wao watuonyeshe wake zao tuone magaga na kilimanjaro zao pamoja midela yao, wivu tu unawasmbua.
 
Ukizunguka sana kwa Waganga, akili huruka. (Sina uhakika na hili) ila nimeshuhudia sana watu wenye mishe za kiganga kuwa kama wagonjwa wa akili.
 
Mi si mtaalam wa afya ya akili lakin niseme tu huyu mama si suala la umachepele. kwa tukio la bungen na mengine, KUNA KITU HAKIKO SAWA KWENYE CONTROL BOX.
 
Mi si mtaalam wa afya ya akili lakin niseme tu huyu mama si suala la umachepele. kwa tukio la bungen na mengine, KUNA KITU HAKIKO SAWA KWENYE CONTROL BOX.
bado sijaona mapungufu yake ,labda ngoja nianze kumfuatilia kwa ukaribu.naona watu Wana mng'akia kiasi flani.
 
Tatizo mnakariri ukiona huyu anashida basi wote hapana, wanaume niwasumbufu sana tena hawa wasomi ni mbuzi tosha hutumia usomi wao kuwaburuza wake zao sema wanawake huamua kuvumilia tu ,
Wewe mama wa nyumbani au muajiriwa unamishe yako kama mnavyosema wenyewe, unachakarika kuna leo kuna kesho siyo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…