Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Jaman mwenye nacho huongezewa, asiye nacho hunyang'wanya chote [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hahaha Yuko zake kule kwny ofisi ya kabudi ya zamani.

Hahah yaani sijui hata ungeanzia wapi kujisogeza mitaa Ile,Kwanza sijui hata ilikuaje akapewa div 4 wkt Necta iko chini ya dingi ake,au hapo yenyewe ukute ali differentiate constant(kapata zero) afu mabroo wakaona ngoja tuinuane tu., Hahah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukute yupo BOT au bandarini ndiyo sehemu zao hizo
 
Niliwahi kumsikia Erick shigongo aakihojiwa akasema watoto wake walikua wanajua Mchele hua unatengenezwa kiwandani Kama pipi vile,sio Kwamba unalimwa.

Nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
kwani uliambiwa hizo shule za serikali ni za kwao binafsi?
Anochewza professor ni kusimamia kwa ukamilifu sera ya taifa ya elimu,na hii hajatunga yeye,kwa hiyo usimpangie wapi pa kusomesha wanawe
 
Hahahahhah na huko hamnaga kufuatiliana kabisa naskia dadake mwendazake alikuwa hazina nahisi atakuwa kawekwa jirani na shangazi yake kwa uangalizi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto wake yule bonge mdogo, naskia nae eti amepewa kitengo kikubwa, hata taaluma yake hajamaliza bado. Mweeeeh
 
Mazingira ukiyawaza sana hutafanya kitu mzee mwenzangu! Cha muhimu usiibe wala usikabe mtu yani! Ikiingia buku au laki kila siku zote pesa kaka tutengeneze mikondo tu! 10 years ahead tutahesabu achievements!
Sikatai mkuu tuna bambikwa kodi huku balaa mara unalazimishwa VAT huku mtaji wa kuunga unga
 
Hata mimi ningekua waziri ningemsomesha mwanangu shule nzuri kabisa, ada ni mamilioni ila wananchi nitawahubiria elimu bure na makofi wanipigie....
 
Wao ni wazalendo kutumikia wananchi miaka yote lakini huwakuti kwenye chaki wala utendaji mtaa wao uzalendo wao ni kuitwa waheshimiwa.
... hiyo ndio inaitwa the ruling class Chief! Kuiondoa ili kurudisha madaraka kwa wananchi sio lelemama! Shida zaidi ni mbumbumbu waliotengenezwa makusudi "kuiabudu" the ruling class.
 
Watu mnafukunyua haswa hadi picha ya mwanae mmeipata! Du!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…