Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Nakuambia huo utaratibu ni mbovu mbaya. Wewe unanihakikishia kuwa hakuna utaratibu wa kuwaona kabisa. Mimi nimekwambia ingetokea wamefanya huo ujinga haraka ninge mwondoa mtoto. Ni haki yangu kumwona mtoto. Ikiwa hata wafungwa huwa wanaonwa itakuwa watoto walio shule. Nyie muanze kutumia akili hata za kuazima.hakuna utaratibu kuwaona kabisa sijui kama unaelewa
Kama hoja iko sawa na ameshindwa. Kuipangilia msaidie kupangilia, kilaza kwa sababu hakupanga hoja vizur au una kingine? Ebu ipange tuone mpangilio wake kama ni kweli kakosea kupanga.Utaratibu wa kutembelea watoto unawekwa kwa siku moja. Lets say jumamosi ya mwisho wa mwezi husika. Hakuna suala la kumtembelea mtoto kila mzazi anapojisikia. Pia kama watoto wengine hawatotembelewa si suala la jumuiya.
Ni suala binafsi. Mbona hujawaza kuwa hata ada iondolewe kwa kuwa kama kuna watoto ambao hawalipiwi ada kwa wakati je watajisikiaje wenzao wanapolipiwa kwa wakati? Upo kilaza sana hujui kujenga hoja. Nadhani hukuwa ukipendwa na wazaz wako walienda kukutupa boarding.
Mimi ngetembelea na siku ambayo wangekataa nisimwone mtoto ndo siku ambayo ngeondoka naye
Kwani shule si zipo miaka yote tunapambana na uongozi wabadili hayo ? Jan si kitu suala lipo board za shule nyingi sanaaa....wabadilishe utaratibu mbovuhilo swala limeanza lini? mana hii ni januari hata mwisho wa mwezi hatujafika
Hizo shule za bweni hazina majina?, Zitaje hapa Ili serikali ijue wapi itaanzia.Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
kama mmeongea nahakuna mabadiliko unafikiri utafanya nn? shule zaboarding hasa sec. zina utaratibu flani wa kijinga wao ada mbele mengine wao huamua vile wataamka sku hio, sasa hapo mzazi tafuta mwalim wa karibu jisogeze akuweke karibu na mtoto kuna shule moja matron akitumiwa hela za watoto za pocket money anakula yeye na familia yake mtoto anakaa hata wiki hajui nn kinaendelea anaishi kwa shida madudu n mengi mno au mhamishe ukiona unayiyatakabww hayawi.Kwani shule si zipo miaka yote tunapambana na uongozi wabadili hayo ? Jan si kitu suala lipo board za shule nyingi sanaaa....wabadilishe utaratibu mbovu
Jioning instructions ilisemaje .. na hadi unampeleka mtoto maana yake masharti yao ulirudhiaSalaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
Wakiweka masaa 3 kumuona mara moja mwezi inatosha sana hasa afya akili watoto hasa wa kike....Unajua ni kwanini hizo shule zimezuia utaratibu wa mara kwa mara kwa mzazi kufika kumuona mtoto wake?
Miongoni mwa sababu ni hizi.
1. Usumbufu wa wazazi kwa shule.
2. Mabadiliko ya kifikra na kitabia kwa mtoto baada ya mzazi kumuona mtoto wake.
3. Kuzaliwa kwa malalamiko mengi kutoka kwa wazazi baada ya mzazi kumuona mtoto wake.
Shule darasa watoto 8Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
Maana ya kumpeleka bweni ni nini? Kama unataka kumwona mara kwa mara bora akae day tu!Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI