Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Waziri/serikali ione hili jambo kwenye yale mafaili ambayo hawalali wanayasoma/bukua.Itengwe jumamosi na jumapili ya mwisho wa mwezi kama visiting day (hii iwe lazima kwa shule zote za bweni).
Hawana uthubutu huo, nani ataanzisha? watapingana wao kwa waoItaneni wazazi wote kaeni na uongozi wa shule mpeane maelekezo namna bora ya malezi ya watoto wenu. Hii nchi watu kama kondoo tu. Nyerere alituharibu sijui.
Huwa unasali siku nzima?Jumamosi na jumapili ni siku ya watu kusali sio kuzurura visiting day kwa watoto
Ndio natoka nae, na anapata shule Bora kuliko hiyo inayokomalia mambo ya kipuuziShule ya wajinga hiyo na haina soko mimi ngekuambia toka nenda naye
Hata JF ni platform ambayo ina private ownership, lakini kuna mamlaka ya serikali inayoiangalia mwenendo wake, kama vile TCRAWaziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake,
Mkuu elimu sio utumwa.Shule ya wajinga hiyo na haina soko mimi ngekuambia toka nenda naye
Wabongo wanapenda mno kujistress that's why nimejitolea kuwasaidiaNingeshangaaa sana kama comments zako zingekosekana hapa
Mkuu hizo shule hazina vikao vya wazazi?? Hizo shule hazina fomu za terms of condition?? Kama fomu haisemi kuhusu kumuona mtoto basi hiyo shule haifai kumpeleka mtoto.Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
We lijinga sana..kwani hao watoto ni wafungwa?Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
πππ Montamonta/monitor
Mie ningevunja vunja madawati ya hiyo shule kabisa.na miti nafyeka yoteπHili jambo hata@MrsBesigye hawezi kukubaliana nalo.
Mwenyee "moonda"!Nipo hapa Mbalamaziwa namuona anaelekea kwenyee suule!ππππππππ Monta
Mbona shule Binafsi zingine wanaruhusu, kipi wanaficha hao πSalaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
Wangesema mzazi wa Mwimbe ni mgaya haa!ππππMie ningevunja vunja madawati ya hiyo shule kabisa.na miti nafyeka yoteπ
Jenga shule ya kwako, chawa sio watu wazuri ,Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?
Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.
Asante nakutakia kazi njema
MZAZI