Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Uk
Uko sahihi Sana mkuu!
Watanzania wanataka mahindi yashuke bei ili wale washibe,wazaliane!
Yakipanda mahindi kelele nyingiii mbona mchele bei juu Sana na hakuna mikelele?!
Huu mjadala tulishaumaliza muda mrefu,ukiona zao lolote liko juu nenda na ww ukalime uje upige faida.
Uko sahihi Sana mkuu!
Watanzania wanataka mahindi yashuke bei ili wale washibe,wazaliane!
Yakipanda mahindi kelele nyingiii mbona mchele bei juu Sana na hakuna mikelele?!