Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

Mkuu mtumisji wa Serikali siku zote anatetea ugali wake na WA bosi wake na Wala siyo akili zake
JPM alimkataa huyu bwana , akakimbilia Unguja kuomba urais , kule wakamkataa.

Sasa sasa amerudishwa tena bara kutumaliza!!!

Kuna mwingine kaletwa baraza la mitihani ni bomu jingine.

Mwingine kaweka TPDC ni bomu jingine

Mwingine kilosa DC ni nomu jingine
Mwingine mkuranga ni DED ni bomu jingine.
 

Attachments

  • CFBC2B59-B58C-4922-B944-C7BC05DDDB85.jpeg
    44.7 KB · Views: 1
  • 57A2E4E1-E183-4A26-953C-81DE29FFB309.jpeg
    86 KB · Views: 1
Kwanini mambo yasiwe wazi / transparent (ingekuwa hivyo wala huku tunsingefika)

Binafsi mimi sio huyu / hawa au serikali hii tu; Watu hawaaminiki na they are prone to corruption kufanya fanya maficho mwisho wa siku ni kukaribisha upigaji
 
Safi sana
Waelimishe wale vizabizabina kina denooJ Nyankurungu2020 sifi leo Mmawia na wengineo
 
Naona mahabusu watarajiwa.
 
Angel Akilimali(CCM):NEC kililidhia huu mpango(Mkataba/makubaliano) mtapelekaje elimu Kwa wananchi Ili wananchi waendelee kukiamini Chama Cha mapinduzi!?

Bladifakeni,huyu kuku kaongea pumba aisee
 
Vyombo vyote vipo laivu,na bandari HAIUZWI ila INAKODISHWA
 
Hivi ukweli kuwa sisi ni waoga sana hadi viongozi wanalijua hilo ama basi tu huwa tunapuuza hata mambo ya msingi?

Hivi Kenya wanawezaje kufanya maandamano?
Huu uoga utatufikisha wapi?

Coz matendo ya hawa viongozi ni kutokana na imani waliyonayo Juu ya watz kuwa ni wajinga na waoga!

Laiti wangeona the dark side ya walioonewa vya kutosha
Pale wanaposema
ENOUGH IS ENOUGH

Kamwe wasingefanya haya wanayoyafanya!

Ila ipo siku tu!
 
Kwanini swala la bandari tusilifanye wenyewe kama tulivyofanya Kwa SGR,Bwawa la Nyerere na Daraja la Busisi!?
 
TICTS walikuwa bandarini miaka 22 na wao walikuwa hewani?. Ni ukodishaji sasa kama unaweza ukafanyika angani tambua kuwa utafanyika angani.
 
Hawa ni waandishi wa habari au wanasiasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…