Wazoefu naomba mnisaidie, nataka kuoa mwanamke wa kingoni, nini sifa zao kuanzia chumbani Hadi sebuleni?

Wazoefu naomba mnisaidie, nataka kuoa mwanamke wa kingoni, nini sifa zao kuanzia chumbani Hadi sebuleni?

Ni Malaya kiujumla hawana miiko ya kingono.ila wanajua maisha wavumilivu na Wana heshima.
hii kitu inanishangaza sna mtu kuwa na heshima halafu ni malaya nilishapitia hili kwa mmoja mwanzo sikujua km ni mke wa mtu
 
Mwanaume anayehangaika kuulizia sifa za potential wife mitandaoni ni bwege mtozeni

Hakuna muoaji hapo

I fee very very sorry for the lady, she doesn’t know her lover is an idiot

She must be very naive….

Generally wangoni ni loyal and nice people

Dada wa watu kala hasara
punguza jazba kosea njia ila sio kuoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa mwamposaa huko vipiii? Asemee nimpee shost angu, afu mie sio wa Namtumbo, mie Mngoni halisi kutoka Songea 1.

Kikubwa awe tayari kwa mzagamuo muda wotee, tunapenda mnyanduano kuliko kulaaa.
 
hakuna mwanamke wa kabila lolote anayeacha X wake. chukua hiyo
X haachwi
Hiyo iko wazi.Ex miaka hii haachwi,mkikutana kama kaja msibani,unakuja,kaja kumuuguza mama yake kijijini,unamla,kaja kusalimia kwao,unamla.Huulizii,yaani akifika watu wanakwambia kua mkeo kaja.
 
Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Unataka kuoa mke au unataka kuoa kabila?
Siku hizi wenye makabila yao hawayajui wewe ambaye siyo kabila lako unalitaka la nini?
 
Back
Top Bottom