Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
JF ukiuliza chochote watakiponda ,sasa kazi kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kitu inanishangaza sna mtu kuwa na heshima halafu ni malaya nilishapitia hili kwa mmoja mwanzo sikujua km ni mke wa mtuNi Malaya kiujumla hawana miiko ya kingono.ila wanajua maisha wavumilivu na Wana heshima.
punguza jazba kosea njia ila sio kuoa.Mwanaume anayehangaika kuulizia sifa za potential wife mitandaoni ni bwege mtozeni
Hakuna muoaji hapo
I fee very very sorry for the lady, she doesn’t know her lover is an idiot
She must be very naive….
Generally wangoni ni loyal and nice people
Dada wa watu kala hasara
Dada kakosea mchumba na asipoangalia ataolewa na boyapunguza jazba kosea njia ila sio kuoa.
Akipuuza hii sifa atakimbia ndoa mapemaWanapenda S3x sana, jiandae kufanya kwa siku mara 3
Umeeleza kwa kifupi na ufasahaNi Malaya kiujumla hawana miiko ya kingono.ila wanajua maisha wavumilivu na Wana heshima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?NGONI MIGRATION
kuwa makini sana, wanapenda kuhama hama hao
Nakaziaaa!! Tena haipingwiii.Wanapenda S3x sana, jiandae kufanya kwa siku mara 3
Ahsanteeeee!!!Wapo so sexy na wanaitendea vyema ndoa zao.
Ni waaminifu kuliko kaka zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa mwamposaa huko vipiii? Asemee nimpee shost angu, afu mie sio wa Namtumbo, mie Mngoni halisi kutoka Songea 1.
hakuna mwanamke wa kabila lolote anayeacha X wake. chukua hiyoSio wachoyo kwa maX wao Bora umuue X hatamwacha. Ninao watatu wameolewa hata Leo Nikita napewa.
Hiyo iko wazi.Ex miaka hii haachwi,mkikutana kama kaja msibani,unakuja,kaja kumuuguza mama yake kijijini,unamla,kaja kusalimia kwao,unamla.Huulizii,yaani akifika watu wanakwambia kua mkeo kaja.hakuna mwanamke wa kabila lolote anayeacha X wake. chukua hiyo
X haachwi
cocastic unaitwaSwali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Mmh huyo si ni upinde
Lakini siku hizi ana mjukuu ujue!
Nani kakudanganya. Analea sasaMmh huyo si ni upinde
Unataka kuoa mke au unataka kuoa kabila?Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
Acha kupotosha, taja kabila ambalo hayo uliyoandika siyo kipaumbele chao.Kuwa na mchepuko ni haki yake,vipaumbele vyao ni ushirikina,ulevi,sherehe na ngono (siyo tendo la ndoa).