Akili tuliyonayo tumevumbua nini kaka? Au tuna akili za mdomoni tuWaafrica tuna akili kuliko wazungu huo ndo ukweli.sema wazungu wanatumia Hira kibao kutumaliza ,na kutuoandikizia vitu ambavyo vinaharibu nature ya ubongo wetu,kwa kiasi kikubwa wazungu wanatuogopa waafrica kwa ,kwa ukali wa akili zetu,vipaji,na mali tulizonazo.they fear one day we shall make them to be slaves of ours.huo ndio ukweli.kila siku wanawaza namna ya kutuharibu.
Nipe link basi nikasome mwenyeweUnataka niwataje wakati umepewa au uvivu wa kusoma? Nimekupa chanzo kama ushahidi kama kweli unataka kujiendeleza na kufanya utafiti tunduizi na jadidi kwa faida yako na wenye mawazo kama yako ya kujidhalilisha na kuwadhalilisha waafrika tokana na kutojua.
Nipe link basi nikasome mwenyewe
Anamaanisha ni black America.Katika hao wahusika uliowaorodhesha mbona karibia wote ni wamarekani?
Unamaanisha nephilims Genesis 6: 1-6 or wanefilo?Ipo article kwamba wazungu ni uzao wa binadamu na shetani uzao wa majitu yaani wanefliki baada ya gharika malaika walipowaingilia wanawake waliokuwa wakioga mtoni wakazaliwa majitu thus Wana akili na maarifa.
Michael jackson, Jordan, Pele wanatokae nchi gani hapa Africa??
Katika hao wahusika uliowaorodhesha mbona karibia wote ni wamarekani?
Wote ni Black American wote ngozi nyeusi, au siyo😁😁Hao unaosema ni waafrica walitokea nchi gani Africa?
Well ,I like your thinkingHoja yako haina tofauti sana kimantiki na kauli wanayoitumia watu wa gender equality , 'Mwanamke akiwezeshwa ,anaweza' in a nutshell kauli hii ni alama ya ushujaa kwa mwanamke , lakini kiundani zaidi , ni kauli inayojieleza kuwa ili mwanamke aweze kumbe , inabidi mwanaume awajibike kumuwezesha kwanza, ni kauli ambayo inamtanabaisha bila kificho kuwa mwanaume ndo shujaa wa kwanza kabla ya mwanamke.
Kwamba wazungu wamefanikiwa kupiga bomu kwenye mind na self identity ya mwafrika , kwan nini sisi hatukuwa wa kwanza kufanya hivyo kwao ili tuwatawale na kuwafanya watumwa wetu?, , ili nao wajione sio kitu kuliko sisi?
Huoni kuwa hoja yako inazidi kumfanya mzungu kuwa alikuwa smart kabla yetu?
Labda ungefafanua kwanza vigezo unavyotumia kupima/kulinganisha 'ubora' na 'akili' iwe kama muongozo wa kujibu swali lako.Nitakuuliza swali: kati yako wewe na mzungu, yupi bora? Nani ana akili zaidi?
Mkuu uko serious kweli? Jiwe naye ni mtu mwenye akili kweli[emoji848]Hili liko wazi,
Ndio maana wazungu huwa wako macho sana na kuwa wakali (ikibidi kuua) mwafrika yoyote mwenye mawazo ya kimapinduzi. Mf. Martin Luther king jr. Malcom X, Bob Marley, Muhmur Gaddafi, Magu? na wengineo.
Hayo ni maoni yangu sio lazima tufanane kimtizamo.Mkuu uko serious kweli? Jiwe naye ni mtu mwenye akili kweli[emoji848]
Tunaongelea Africa kwa ujumla au tunaongelea nchi? Mbona swali lako limekaa kiutopolo?Michael jackson, Jordan, Pele wanatokae nchi gani hapa Africa??
Shida ni system ambayo imesababishwa na katiba mbovuShida hapo ni nani sasa? Najua utasema ni system,kama ni system inaongoza na nani? Kwanini huko uzunguni hakuna changamoto za kiboya kama hizi?
Kuna sehemu ya Africa isiyokuwa na nchi?Tunaongelea Africa kwa ujumla au tunaongelea nchi? Mbona swali lako limekaa kiutopolo?
[emoji16]Tunachojua orgins yao ni Afrika au ww unaonaje? Wametoka India au China?