We kijana acha punyeto na kusagana mara moja, tabia mbaya alaa..

We kijana acha punyeto na kusagana mara moja, tabia mbaya alaa..

Huko bungeni hamna kazi ya kufanya?
ni pamoja na kutunga sheria za kuzuia uraibu kama huu wa fedheha sana, ambao kwa kiasi kikubwa umedumaza uwezo wa vijana kufikiri vizuri, unazorotesha kwa kiasi kikubwa afya za uzazi wa nguvu kazi ya Taifa, lakini pia kuchochea vijana wengi kua na matatizo ya afya ya akili 🐒
 
ni pamoja na kutunga sheria za kuzuia uraibu kama huu wa fedheha sana, ambao kwa kiasi kikubwa umedumaza uwezo wa vijana kufikiri vizuri, unazorotesha kwa kiasi kikubwa afya za uzazi wa nguvu kazi ya Taifa, lakini pia kuchochea vijana wengi kua na matatizo ya afya ya akili 🐒
Nyeto haina madhara mkuu, labda unataka vijana wapate ukimwi.🤔
 
Nyeto haina madhara mkuu, labda unataka vijana wapate ukimwi.🤔
gentleman,
zingatia maelezo na tahadhari ninazotoa kuhusu nyeto...

na mimi sio mtumishi na kiongozi kijana mwandamizi wa mchezo mchezo. nakuja humu jukwaani kutoa hoja na elimu juu ya masuala mbalimbali muhimu tayari nikiwa na matokeo ya utafiti...

ndio maana huwa ninafurahi sana kua na engagements na conversations ili kuthibisha matokeo ya utafiti wangu,

for sure,
ukiachilia mbali mikosi but nyeto ina athari lukuki kiafya, stop and don't practice and intertain it again for betterments of your health 🐒
 
Back
Top Bottom