min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
KivipUnanisindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KivipUnanisindano
heri yangu mie Azuma na PowerCef sijui zinafananaje
Kaa mbali namiKivip
Nataka nijichomoe kataa ndoa ,wewe unaniharibia😅😅😅Utarudi tu...labda ile chumvi niliyochoma kwenye kifuu Kama Moshi wake ulielekea uani...niishije kubanwa na mkojo Mara kwa mara
Ulikuwa wangu ukaniacha,jiandae kuharibiwa🤒Nataka nijichomoe kataa ndoa ,wewe unaniharibia😅😅😅
Kuna mahali niliona unasema unakula pesa kama mchwa , ikabidi nijiongezee😁😁Ulikuwa wangu ukaniacha,jiandae kuharibiwa🤒
Watoto hata mimi ninao , ni habari ya pesa kutafunwa kama mchwa tu😆🤣🤣
Pesa ipi jaman,sema ulikimbia watoto utadhani ulizaa wewe🙄
Kwani waoa ili umfubashe mke? Niache bhana ..🤨Watoto hata mimi ninao , ni habari ya pesa kutafunwa kama mchwa tu😆
Ni fedheha kuu kwa mwanaume kushindwa kusimamisha vizuri. Nina washauri vijana waache kutazama porn na wafanye sana mazoezi ya kegel na ya kukimbia. Kama chanzo cha tatizo ni nyeto basi ukifanya hayo mazoezi ni ndani ya wiki chache tu unakuwa sawa. Inawezekana ukawa sawa kuliko hata ulivyokuwa mwanzoni.ukishamaliza kulegeza misuli ya mshedede wako kwa nyeto maridhawa kwa muda na kusababisha misuli ya damu izibe na kuzuia flow nzur ya damu hadi kwenye kichwa cha uume, kwanza hutaweza kusimamisha mshedede vizuri, na
tena kama ndio kujamiiana kwa kondomu hutaweza kabisa...
hiyo ni miongni mwa athari za fedheha sana za nyeto kiafya, huku ndio kwanza umeoa binti mbichi kabisa athari za nyeto zinakuja kukuumbua ndani ya ndoa dah, huruma 🐒
Legend kaongea🤣🤣🤣🤣Mkuu mpiga nyeto kwanza huwa hamalizi haraka
Kma mimi sijafubaa kwa nini yeye afubae😁Kwani waoa ili umfubashe mke? Niache bhana ..🤨
😁Legend kaongea🤣🤣🤣🤣
Kwa nini asimalize haraka mkuu, najua ni issue ya hisia tu!!
😊Kma mimi sijafubaa kwa nini yeye afubae😁
😊Kma mimi sijafubaa kwa nini yeye afubae😁