We kijana acha punyeto na kusagana mara moja, tabia mbaya alaa..

We kijana acha punyeto na kusagana mara moja, tabia mbaya alaa..

heri yangu mie Azuma na PowerCef sijui zinafananaje
Screenshot_20240809-164735_Chrome.jpg
 
Kwani mkipiga nyeto huwa mnaibana ndonga hadi misuli ikaze? Mkuu hili tendo maridhawa ni soft tu mbona🤣🤣
wale wenye mikono migumu yenye sugu kama zote utadhani spana ya gari tumeepushwa mbali na nyeto,dah 🐒
 
ukishamaliza kulegeza misuli ya mshedede wako kwa nyeto maridhawa kwa muda na kusababisha misuli ya damu izibe na kuzuia flow nzur ya damu hadi kwenye kichwa cha uume, kwanza hutaweza kusimamisha mshedede vizuri, na
tena kama ndio kujamiiana kwa kondomu hutaweza kabisa...


hiyo ni miongni mwa athari za fedheha sana za nyeto kiafya, huku ndio kwanza umeoa binti mbichi kabisa athari za nyeto zinakuja kukuumbua ndani ya ndoa dah, huruma 🐒
Ni fedheha kuu kwa mwanaume kushindwa kusimamisha vizuri. Nina washauri vijana waache kutazama porn na wafanye sana mazoezi ya kegel na ya kukimbia. Kama chanzo cha tatizo ni nyeto basi ukifanya hayo mazoezi ni ndani ya wiki chache tu unakuwa sawa. Inawezekana ukawa sawa kuliko hata ulivyokuwa mwanzoni.
 
Back
Top Bottom