Wengi wanaotaka wake zao wasifanye kazi wana upeo mdogo wa kufikiri halafu ni wabinafsi

Kwani akifanya kazi hawezi kuwa pambo au kumburudisha mumewe?

Kuna wanawake wanaofanya kazi na bado ni warembo kuliko wanaokalizwa nyumbani.
Hoja yako haina mashiko
Japo Sina shida kabisa na mwanamke kufanya kazi ila ukweli ni kwamba, mwanamke akiwa anafanya kazi mwanamme lazima ukose huduma mhimu nyumbani.
 
Mods naomba mfute post ya mtoa mada halafu hii comment ndio iwe uzi kamili, hii ni comment bora kwa mwaka huu.
 
Eee Mungu saidia wanawake wa jf wasije wakaona hiii comments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…