passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Unaweza kuwasomesha wadogo zake?Bebeni majukumu yenu ya ndoa kama wanaume, acheni kuwatumiksha wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuwasomesha wadogo zake?Bebeni majukumu yenu ya ndoa kama wanaume, acheni kuwatumiksha wanawake.
Kwa nini ujipendekeze kujenga ukweni, huku mama mkwe wako anawatoto wakiume aliowazaa kama wewe?.Ndio nakuuliza unaweza kujenga Ukweni na kimshahara chako ambacho hata wewe mwenyewe hakikutoshi?
Bebeni majukumu yenu ya ndoa kama wanaume, acheni kuwatumiksha wanawake.
Kwani hilo ni jukumu lake?Unaweza kuwasomesha wadogo zake?
Kuna limit ya majukumu ya kuhudumia ndugu zako?Kwani hilo ni jukumu lake?
Hukutakiwa kuongelea habari za ndoa kama hujui majukumu ya mume.Majukumu ya mume ni yapi na ya mke ni yapi kwa Mujibu wa sheria na imani yako?
Kwa nini ujipendekeze kujenga ukweni, huku mama mkwe wako anawatoto wakiume aliowazaa kama wewe?.
Limit ipo kulingana na kipato chenu.Kuna limit ya majukumu ya kuhudumia ndugu zako?
Kuna limit ya majukumu ya kuhudumia ndugu zako?
Si ujibu kwanza kisha ndio uulize swali!Kuna limit ya majukumu ya kuhudumia ndugu zako?
Hukutakiwa kuongelea habari za ndoa kama hujui majukumu ya mume.
Hakuna limit ya kuhudumia ndugu zako.Si ujibu kwanza kisha ndio uulize swali!
So kwahiyo na wewe utabeba mimba na kunyonyosha watoto?Majukumu ya mume na mke ni yaleyale kwa sababu wao ni mwili mmoja. Au wewe unazungumzia wale wanawake mnaowanunua na kuwaita mke huku mkiwageuza vijakazi na misukule yenu.
Mwanamke akiolewa ukoo automatically umepungua, na mwanaume akioa basi ukoo umeongezeka. Ukishatambua Hilo mambo mengine hayatokusumbua.Unaona sasa ulivyo mbinafsi.
Mtoto ni mtoto awe wakike au wakiume.
Na wote wanahaki sawa kwa mzazi.
Wewe ukizaa watoto wakike wote hawataki wa na wajibu wa kukutunza?
Kipato chenu? Wewe na yeye au wewe?Limit ipo kulingana na kipato chenu.
Sijataja neno sheria mimiHakuna limit ya kuhudumia ndugu zako.
Labda kama wewe umefundishwa hivyo ila tumekua tukiwasaidia wadogo zetu.
Wewe umepata wapi hiyo sheria?
Dunia inabadilika inabidi majukumu yatafakariwe upya.Mwanamke ni pambo hatakiwa kufanya kazi yeyote zaidi yakumburudisha mume wake.
Ukishamuoa mwanamke amebadili koo, kutoka ukoo wao kuja upande wa mume, ndio maana wengine hubadili mpaka majina ya wazazi wao.
Baada yakumuoa apaswa kufata Sheria na taratibu za upande wa mumewe, hayo yakuhudumia ndugu zake sijui wadogo zake nimambo ya ziada. Mnapooana jukumu kubwa nilakuangalia familia yenu nyinyi wawili nakujenga mpango mkakati wa watoto wenu baadae waishije. Kila mtu akianza kuhudumia nakutoa kipaumbele kwao hapatakua na familia tena.
Kila mtu ajenge kwao, Kila mtu awe anatuma hela kwao, kwenu nyie wawili mtapajenga lini?.
Mwanamke akikubali kuolewa basi ajue na atambue anaenda kufata taratibu na Sheria za mumewe kama hayupo tayari basi asikubali kuolewa.
Sisi wengine tunaamini hata kama niko wrong basi mwanamke anafaa kunisikiliza na kutii nilichokisema.
Ndio maana Koo nyingine wanaume hawali chakula sehemu Moja na wanawake jiulize Kwa nini?. Hili nikuwafunza watoto wakiume na kike Kila mtu kujua majukumu ya baba yake na mama yake niyapi , na namna mwanamke anavyopaswa kumtii na kumuandalia chakula mumewe.
Majukumu yamwanamke ndani ya nyumba yanafahamika na majukum ya mwanamme ndani ya nyumba yanafahamika, Sasa ukitaka kila upande uingilie majukumu ya nwenzake hapatotosha, ndio maana familia nyingi zinaparaganyika Kwa Kila upande kuona unaweza kuhimili kufanya majukumu ya mwenzake.
Kila mtu aishi nakufanya yale ambayo anatakiwa kufanya nakutekeleza majukumu yake.
Nakipindi unaoa au kuolewa basi mwenzi wako ajue lengo ni nini hasa, mimi nikitaka kuoa basi lengo nimke wangu aagalie watoto basi, mengi kama yakija basi niyaziada. Lakini lengo kuu lazima hata yeye alifahamu Kwa mantiki kwamba anaolewa kuja kuwa mama wa nyumbani.
Kwanini umeuliza kwamba ni jukumu lake? Kuna limit ya kuhudumia ndugu zako?Sijataja neno sheria mimi
Dah! Sio kila badiliko linalokuja tulipokee, mengine tuwaachie wwnye sisi tufuate yale yalio mema tu.Dunia inabadilika inabidi majukumu yatafakariwe upya.
😒Naelimisha wajinga.
Nikiona mtu ni Mpumbavu basi hiyo ndio njia sahihi.
Mabadiliko niliyoyazungumzia hapo hayakwepeki.Dah! Sio kila badiliko linalokuja tulipokee, mengine tuwaachie wwnye sisi tufuate yale yalio mema tu.