passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Hapana sehemu amesema hivyo.Nadhani anamaanisha kazi za kuajiriwa, maaba kazi za ndani tu pekeyake zinatosha na ndio maana watu wanaajiri madada wakazi na wanawakipa kwakua kazi za ndani pekeyake na nyingi. Kibwa hapa wale wanaokataa wake zao wasiajiriww basi wawe wanawakipa kulingana na vipato vyao.
Kasema Mke wake hatafanya kazi.
Labda wewe unisaidie kuna Mke wa tajiri ambaye hafanyi kazi ulishamuona?