Hahahah always mi naonekanaga kauzu kwa machickz wa humu ndani. 🤣 Ila ni vile tu nimeamuwa kuwa real tu.Alafu ukiwa na mitazamo hiyo lazima uwe na furaha, alafu Wanawake Wezi watakuona unamfumo dume
Kaka upo ktk harakati za kukwepa vibom naona 😂😂😂
Aisee utabisha sana ila vijana wa sasa ndo mindset yetu....😂Nikwambie,Tafuta Hela!bado una safari ndefu sana
Multiple relationships na njaa ni ==Mia 5 now days ni useless when it comes to bundles, ndio maana sijaitaja.
Wa mtoa mada hatari sana kwa afya 😁😁
Hao ni rahisi kuwa na multiple relationship.
Vijana wanafungana mota kumbe wanajihalalishia kitanzi bila kujua. 🤣
Tatizo hao mademu wengi wanakuja na njaa zao. Wewe unapowa feed mkwanja ndio inakuwa relief yao wanainjoy. Ila siku zikikata hutaamini.Hii mbinu yako nliwahi itumia na mimi nilipata mademu wengi sana. Wakawa wananifuata wakijua najali na nina uwezo. Niliwala sana walikuja shtuka wamechelewa.
Chizi Maarifa
NENGATRONIXWaulize Wanawake watakuambia.
Wapo wanaopewa mpaka Pesa na Wanawake. Unaishi wapi Mkuu.
Kuna Wanawake hapa mjini wamewapa Vijana mitaji na biashara zinasonga, au unataka niwataje😀
WapuuziWanapenda Sifa za kijinga.
Na Wanawake wanalijua hili fika kuwa Wanaume wengi hawajiamini hivyo ukiwasifia au kuwaponda kuhusu uanaume wao wanatoa Pesa
Wazi kabisa, tutumie akili vizuri! 🤣Sifa ya Kwanza ya mwanaume ni AKILI.
Ili uwezo kutimiza majukumu mengine Kwa ufanisi ni laza mwanaume uwe na Akili.
Sio unakadhania ku-protect na ku-provide bila Kutumia AKILI.
Ninyi ndio wale mnachezewa shere na Wanawake Kwa kutembelea ujinga na Akili mgando za Mimi ni dume lazima ni linde na kuhudumia.
Hudumia na Linda Kwa Akili usijeingizwa kingi.
Kumhudumia Mwanamke mbinafsi Kwa kisingizio ATI wewe ni Mwanaume ni dalili ya kuwa haujitambui, hujui unachokifanya na pengine hujui matokeo ya ufanyacho.
Ndio maana wanaume wengi wajinga wamebambikiziwa Watoto, wanatunza Watoto wasio wao, wanahudumia Wanawake alafu Wanawake haohao wanawanyima unyumba, lakini Kwa vile ni misukule kwao ni Sawa.
Aisee joanah unajua kukaza fuvu😂Sawa tu nendeni mkanunue ndio mjue BURE kasafiri atarudi kesho😁
Sasa mkuu kama unadate jobless utaonana nae vipi kama hana hata mia ya boda. Kumbuka anakuja ghetto ili umuweke..Unamuwezeshaje mtu ambaye huna mkataba naye? 🤣 Unatafta kupigwa uone watu wabaya
Mwanamke wa aina hio ni kipengeleSasa usilalamike mwanamke wako kuomba nauli kama yeye ni jobless na ndugu zake hawana uwezo huo wa kumfungulia fremu ama lah piga nyeto au kanunue dada poa. Ukitaka mwanamke awe unavyotaka wewe katafute aliyejijenga tayari ili mgawane majukumu. Au lah msapoti . Swala la mahusiano ni Pana usiangalie yule ambaye anajiweza tuu. Kuna watu Hana mtaji , Hana kitega uchumi na Hana pahali pa kuingizia pesa. Sasa wewe unataka uterezi mrahisishie afike unataka ajilipie. Maisha tunatofautiana bro
Hutaki kuwawezsha mkuu?😁😁Mwanamke wa aina hio ni kipengele
🤣🤣🤣🤣Ndio hivyo mshamba,!mpare anarahisisha mambo sanaAisee joanah unajua kukaza fuvu😂
Leo ndo nimeamini
Afu unarudia rudia comments zinazokasirisha watu😂🤣🤣🤣🤣Ndio hivyo mshamba,!mpare anarahisisha mambo sana
Hahahahahah we sio mzima
Ndio mapenzi sasa hayo au wewe huna mapenzi ya dhati?Sijilipii nauli Asilani!kama anajisikia uchungu kutuma nauli aje yeye...... Yaani nisafiri kilometers away,Nichoke njiani,na nauli yangu wee nani kasema Huo upuuzi?😁😁😁😁
Dada kwa style hiyo unaweza usipate mwanaume sahihi sio kwamba mwanaume hawezi kutoa hela ya nauli la hasha anachohofia anaweza kukupa usije au akakuona haupo serious ila kwa mwanaume ambaye anaongozwa na hamu ya kufanya ngono ni rahisi kukupa cos ya kutaka uteleziHajitambui.....
Umeongea point kubwaSijasema wanaume wasiwatunze Wake zao.
Mbona unashindwa kunielewa.
Angalia Kati ya Ronaldo au kina Diamond na watu mashuhuri, wapi wanashoboka na ninyi Wanawake.
Wanawake ndio mnashobo na kina Ronaldo, diamond, na watu wa sampuli hizo. Lakini kamwe Watu kama hao hawawezi babaishwa na Wanawake hasa Wanawake wabinafsi.
Kumhudumia Mkeo hasa asiye mbinafsi ni jukumu la mwanaume yeyote mwenye Akili timamu. Na Mwanamke Bora haoni shida kujitoa kwaajili ya mumewe.
Lakini Wanawake wengi wenye attitude za kimaskini ndio kama ninyi, nauli unayo lakini ATI mpaka utumie. Hakuna Mwanaume WA maana anaweza kuoa Mwanamke wa hivyo, including huyo Ronaldo.
Unapoambiwa Nyuma ya mafanikio ya mwanaume yupo mwanamke tunazungumzia Wanawake wenye sifa nilizozitaja. Sio wanaoshindwa kujilipia nauli na vocha, hao ni kupe wanyonyaji. Ni hasara kubwa