Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Hii mbinu yako nliwahi itumia na mimi nilipata mademu wengi sana. Wakawa wananifuata wakijua najali na nina uwezo. Niliwala sana walikuja shtuka wamechelewa.

Chizi Maarifa
Tatizo hao mademu wengi wanakuja na njaa zao. Wewe unapowa feed mkwanja ndio inakuwa relief yao wanainjoy. Ila siku zikikata hutaamini.
 
Sifa ya Kwanza ya mwanaume ni AKILI.

Ili uwezo kutimiza majukumu mengine Kwa ufanisi ni laza mwanaume uwe na Akili.

Sio unakadhania ku-protect na ku-provide bila Kutumia AKILI.

Ninyi ndio wale mnachezewa shere na Wanawake Kwa kutembelea ujinga na Akili mgando za Mimi ni dume lazima ni linde na kuhudumia.

Hudumia na Linda Kwa Akili usijeingizwa kingi.

Kumhudumia Mwanamke mbinafsi Kwa kisingizio ATI wewe ni Mwanaume ni dalili ya kuwa haujitambui, hujui unachokifanya na pengine hujui matokeo ya ufanyacho.

Ndio maana wanaume wengi wajinga wamebambikiziwa Watoto, wanatunza Watoto wasio wao, wanahudumia Wanawake alafu Wanawake haohao wanawanyima unyumba, lakini Kwa vile ni misukule kwao ni Sawa.
Wazi kabisa, tutumie akili vizuri! 🤣
 
Sasa usilalamike mwanamke wako kuomba nauli kama yeye ni jobless na ndugu zake hawana uwezo huo wa kumfungulia fremu ama lah piga nyeto au kanunue dada poa. Ukitaka mwanamke awe unavyotaka wewe katafute aliyejijenga tayari ili mgawane majukumu. Au lah msapoti . Swala la mahusiano ni Pana usiangalie yule ambaye anajiweza tuu. Kuna watu Hana mtaji , Hana kitega uchumi na Hana pahali pa kuingizia pesa. Sasa wewe unataka uterezi mrahisishie afike unataka ajilipie. Maisha tunatofautiana bro
Mwanamke wa aina hio ni kipengele
 
Sijilipii nauli Asilani!kama anajisikia uchungu kutuma nauli aje yeye...... Yaani nisafiri kilometers away,Nichoke njiani,na nauli yangu wee nani kasema Huo upuuzi?😁😁😁😁
Ndio mapenzi sasa hayo au wewe huna mapenzi ya dhati?
 
Hajitambui.....
Dada kwa style hiyo unaweza usipate mwanaume sahihi sio kwamba mwanaume hawezi kutoa hela ya nauli la hasha anachohofia anaweza kukupa usije au akakuona haupo serious ila kwa mwanaume ambaye anaongozwa na hamu ya kufanya ngono ni rahisi kukupa cos ya kutaka utelezi
 
Asilimia 80 ya wanawake wa sasa ni wadangaji wanatumia fimbo ya hela kuwachapa wanaume,ikiwa ni wanafki hawana true love nikionaga mwanamke anateseka kweny relationship kisa anampenda jamaa Fulani moyoni mwangu huwa na furaha sina time ya kumuonea huruma malipo ni hapahapa duniani
 
Sijasema wanaume wasiwatunze Wake zao.
Mbona unashindwa kunielewa.

Angalia Kati ya Ronaldo au kina Diamond na watu mashuhuri, wapi wanashoboka na ninyi Wanawake.
Wanawake ndio mnashobo na kina Ronaldo, diamond, na watu wa sampuli hizo. Lakini kamwe Watu kama hao hawawezi babaishwa na Wanawake hasa Wanawake wabinafsi.

Kumhudumia Mkeo hasa asiye mbinafsi ni jukumu la mwanaume yeyote mwenye Akili timamu. Na Mwanamke Bora haoni shida kujitoa kwaajili ya mumewe.

Lakini Wanawake wengi wenye attitude za kimaskini ndio kama ninyi, nauli unayo lakini ATI mpaka utumie. Hakuna Mwanaume WA maana anaweza kuoa Mwanamke wa hivyo, including huyo Ronaldo.

Unapoambiwa Nyuma ya mafanikio ya mwanaume yupo mwanamke tunazungumzia Wanawake wenye sifa nilizozitaja. Sio wanaoshindwa kujilipia nauli na vocha, hao ni kupe wanyonyaji. Ni hasara kubwa
Umeongea point kubwa
 
Back
Top Bottom