Inawezekana kabisa, don't judge a book you haven't read.Binti ashindwe kutengeneza hata maandazi?
Aisee umesema kweli.
Wako mabinti mpk akwambie anahitaji msaada unampa bila kuuliza.
Kuna binti siku niko zangu alosto sina hela home.
Kaniona natia huruma
Alikua na hela anarudi chuo.
Kanipa zote nikalewe😁.
Mama pia ni mlokole.
Kaona huyu jamaa hayuko sawa
Aisee nikashangaa karudi na Bapa hilo.
Akasema likiisha nakuchukulia jingine usimwonyeshe mtu,🤣🤣🤣
Hawa wanawake wawili sanamu yao ninayo
Nawaheshimu sana.
Hamna jina lingine tofauti na Ndondocha mtoa Mada yupo sahihikomaaaa kuwaita watu wetu mandondocha.
ndondocha ni huyo binti unayemdate anayeonekania kuwa yatima wa mapenzi. Ref ulichoandika kumuhusu..
Ndoa ni vile wewe na mumeo mmeiset.Kabisa.
Kuna colleagues mmoja wa kike kaolewa, mchana anaweza mpigia mumewe amtumie hela ya chakula. And mind you, ni wameamka pamoja 😂
Sometimes unasikia mumewe kampigia anamwambia amwekee kifurushi cha GB 2 elf 5.
Ndoa raha kumbe 🥳
😅😅 'em sounds like vibuyuSibadilishi kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wanaume wa dar ni hatare afu mwamba kapanda hewani mashallah!! Ila sasa mikia ya rasta inabembea dah!!!!
Afu mshamba sikiliza cha bure kabuli tu!!
Mimi nihangaike kuipaka poda na futa la nazi, afu kibwege bwege tu uje ubembee bure na unene kwa lugha bila kulipia thubutuuuuu!!
Km vipi muwe mnafuck cousins wenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mtu ana uwezo wa kukununulia pochi we unataka gari....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh mmezidi
Inawezekana kabisa, don't judge a book you haven't read.
Ukikutana na mwanamke, mjifunze kwanza then angalia Kama mnaweza kulianzisha, ukiona haiwezekani tafuta namna umuache salama, otherwise utamtesa tu.
Vijana wengi ni jobless mkuu!!
Hoja yako imejengwa kwenye ready-made. Unataka mwanamke aliyehuru kiuchumi, mwenye kipato chake, hutaki kuanza chini na binti asiye na kitu.Raha ya Mwanamke awe anakupenda.
Mkitoka out mnapiga Pesa ya yeyote(iwe yako au yake) mkitoka hapo mnaenda Hotelini au Guest mnamalizana.
Au unaenda kwake au kwako mnaishi kishkaji.
Sio unafanywa kondoo alafu kupe anakunyonya
126785533198563 Tigo hiyoNaombeni vocha jamani
komaaaa kuwaita watu wetu mandondocha.
ndondocha ni huyo binti unayemdate anayeonekania kuwa yatima wa mapenzi. Ref ulichoandika kumuhusu..
Madem zenu hao, waulize kaka zako wanavyokula mema ya nchi huku nje.Hamna jina lingine tofauti na Ndondocha mtoa Mada yupo sahihi
Imagine umekutana na graduate, au binti amekaa home akitafuta kazi kwa miaka miwili hivi. Anaonyesha kukupenda, won't you help her when necessary?Sijam-jaji MTU.
Vijana wengi ni jobless lakini ujobles sio tatizo katik mahusiano. Tatizo ni ubinafsi.
Sisi wengine hatuoni shida kuwapa Wanawake tunaowapenda mitaji kama wao wasivyoona shida kutupa mitaji ikiwa tutahitaji.
Ninachoelezea hapa ni Roho ya upendo, kushirikiana. Hiyo Wanawake wengi hawana
Mtoa Mada hujamuelewa yeye kaangazia swala la wanawake kugeuza watu misukule ,unakata Mwanamke ni masikini wa kutupwa then anatumia Mdomo wake kumwambia mwanume kuwa bila hela hampati so kaangazia. Swala la Umasikini wa FikraHoja yako imejengwa kwenye ready-made. Unataka mwanamke aliyehuru kiuchumi, mwenye kipato chake, hutaki kuanza chini na binti asiye na kitu.
Basi shauri vijana juu ya wanawake ambao bado hawajakaa sawa kiuchumi, ambao kiuhalisia ndio wengi.
Mtoa mada hayajui mapenzi kabisa..Imagine umekutana na graduate, au binti amekaa home akitafuta kazi kwa miaka miwili hivi. Anaonyesha kukupenda, won't you help her when necessary?
Hoja yako imejengwa kwenye ready-made. Unataka mwanamke aliyehuru kiuchumi, mwenye kipato chake, hutaki kuanza chini na binti asiye na kitu.
Basi shauri vijana juu ya wanawake ambao bado hawajakaa sawa kiuchumi, ambao kiuhalisia ndio wengi.
Kaka zangu wake zao wote sio ombaomba Kama nyieMadem zenu hao, waulize kaka zako wanavyokula mema ya nchi huku nje.
hatakama hana kitu,kuanza chini na binti asiye na kitu.
[emoji28][emoji28] 'em sounds like vibuyu