Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewaNikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.
Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.
Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.
Wote tumeongelea makwetu.Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewa
Unajua kwanini hata uwe kichaa vipi lazima uiogope kambi ya jeshi?Wote tumeongelea makwetu.
Wewe ni kwako una sheria zako na mimi ni kwangu nina sheria zangu.
Utakuja kustaajabu hao unaowasomesha magazeti wakawa upinde kwa haraka zaidi pale itakapobidi kwenda kwa jirani kuangalia vile ambavyo vinalingana na umri wao ambavyo hawavipati nyumbani kwao, kuishia kufanyiwa/kufundishwa maovu kuliko hao wanaoangalia TV katika usalama wa nyumba yao.
Wengi wetu tunaamini kuwa ukali na ukoloni ndio malezi bora kutokujua kuna uwezekano wa kuwa na watoto wenye nidhamu bila hata ya mzazi kuwa mkoloni.
Ndani naingia SAA usiku 5 natoka SAA 11 aaubuhiEti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
kwangu mimi ni ww3,watu wananuna hatari.Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Sioni uiano wa swali lako na mada husika ila naamini kuna unachokijua ambacho kidhati hasa sihitaji kukijua.Unajua kwanini hata uwe kichaa vipi lazima uiogope kambi ya jeshi?
Ripoti ya SIEJII utaionea wapiTaarifa ya Habari ina umuhimu gani?
Mkuu vijiwe vya GAHAWA vipoEti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
iyoU
Ukiwa na watoto basi hata hiyo tv ni mali ya watoto lazima wafurahi wakiwa home mzazi anapaswa kujali furaha ya watoto sio kujijali yeye kama vipi anunue nyingine aweke chumbani
sasa sisi wenye chumba kimoja na sitting room moja itawaje mkuu?Nyumba standard inatakiwa si tu kuwa na TV zaidi ya moja, bali hata sebule zinatakiwa kuwa zaidi ya moja. Kuruhusu watoto wakae sebule yao wakaangalia vitu vyao, na wakubwa wakakaa sebule yao wanaangalia vitu vyao.
Halafu hizo TV inatakiwa kila chumba kiweze kuwa na TV yake.
Yani ikibidi mpaka jikoni mtu akitaka kupika huku anaangalia vipindi vya mapishi aweze kuwa na ki TV cha kiushkaji cha jikoni.
Itakuwa mkurya weweππππ.Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewa
Nje ya mada.Acheni ukiritimba na ubeberu [emoji3525] lazima uwe fair kwa watoto wako ukiwa fear nao watafurahia na watakubaliana na wewe kuangalia unachotaka muhimu ni kutumia kauli nzuri kwa watoto wako watawale kisaikolojia sio kwa ubabe
h
iyo
sasa sisi wenye chumba kimoja na sitting room moja itawaje mkuu?
yes,wanalala siting room,au wenye chumba kimoja hawaruhusiwi kuwa na watoto mkuu?unaishi dar ya wapi boss?Chumba kimoja afu una watoto?
Unaweza kukubali maisha yako ukaishi hata bila TV.h
iyo
sasa sisi wenye chumba kimoja na sitting room moja itawaje mkuu?
πππππππππππππππππ, Vipindi vya TBC ni vya ajabu sana.....
Hamna kitu pale, siku nikiwa waziri wa Habari. TBC naipiga ban mpaka siku nastafu uongozi wangu. πππππππππππππππ
Daaah jamani...
Mbona kawaida tu mkuu
Unafatiliaga SAFARI CHANNEL mkuuHamna kitu pale, siku nikiwa waziri wa Habari. TBC naipiga ban mpaka siku nastafu uongozi wangu. πππ
SAFARI CHANNEL Ile ni unyama sana.. Napenda sana wanyamaUnafatiliaga SAFARI CHANNEL mkuu
yes,wanalala siting room,au wenye chumba kimoja hawaruhusiwi kuwa na watoto mkuu?unaishi dar ya wapi boss?