Duh kweli kila shetani na mbuyu wake......Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Hapa US, , deep state ni kina bush, obama, jimmy carter, warren buffet, etcKiongozi mimi ni mjinga naomba unitoe ujinga,
Deep state inaundwa na watu wa gapi?
Watu hao ni akina nani?
Vipi Jk yumo au?
Thread imeanzishwa kutaka wenye ushahidi wa tuhuma za makonda wauweke wazi. Kama unao ushahidi weka hapa tuusome.Kama hamujui tuulizeni tuwawekee hapa ni lini alianza kupakuliwa na nani kampakua!!
Ndugu, ni rahisi sana... ukiona Makonda hakuwajibu hao ubalozi ujue ni kweli (silent means consent), kama si kweli awafungulie marekani kesi ya defamation/kumchafua mdhurumu watu haki ya kuishi na wao katika kujitetea kwao mahakamani watamwaga ushahidi wao... ni hivyo tu... hakuna namna...Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.
Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?
Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?
Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.
Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.
Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Anajigamba eti yeye kina kirefu; who is behind him?!Serikali ime msingle out Sabaya na kumuacha huyu. Kubenea amejaribu kumshitaki lakini kuna visiki kibao!
Acheni kubabaika na picha enyi watu.Uliyaona yale mapicha aliyopiga na samia miaka ya nyuma?
Ndio shida ya Tz eti unaendekeza mahusiano binafsi dhidi ya maslahi ya taifa!!Anajigamba eti yeye kina kirefu; who is behind him?!
Uliyaona yale mapicha aliyopiga na samia miaka ya nyuma?
Subiri muda ukifika, huwa tunaanzaga na brainstorming Kama kwa sabaya. Sabaya alijistukia akaenda mwenyewe kwenye media kujibrand kwa anahisi ni mazuri na kujitetea , Kama huyu naye kakimbilia mitandaoni kujitetea na kutukebehi eti kajenga shule, alitoa wapi pesa? Akulipwa mshahara? Kajenga chama? Chama gani au kunyamazisha chama na kuleta chuki za kimoyoni against chama tokana na matendo yake.Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Pole Kamanda Sirro,Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
hahaha haha unacheza wewe...unaongelea kutoka serikali ipi? hope sio ile ya wezi wa kuraKama raia wa Tz nahitaji kupata ukweli. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba JMT.
Soma vizur andiko la Pompeo acha taarabu.sheria unazodai kuzitumia leo ndio hao kina makonda walizitumia kumiza watu! Unaweza kutuambia makonda aliyetaja na kuwachafua watu kwa madawa ya kulevya kwa kutumia sheria gani?Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Hata katiba yenyewe hujui unajichokoa nyuma na kunusa tu. Kisha unanengua kama bi kopa . Hovyo weweKama raia wa Tz nahitaji kupata ukweli. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba JMT.
Makonda aliwahi kutoa ahadi ya kurudishwa uraiani mateka Roma mkatoliki,tena akatamka na siku. Siku hiyo ilipofika,Roma akaonekana. Inaonyesha kwamba aliufahamu mpango wote!Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Personally sijawahi mpenda Makonda hata kidogo kwa tabia zake za majivuno na kudhalilisha watumishi wa serikali,ila nna hakika kwa jinsi huyu jamaa anavyochukiwa sidhani kama kungekuwa na ushahidi wa yeye kuhusika na mauaji au uvamizi wa Lissu watu wangesita kuuweka hadharani.Swala la kuvamia clouds na police wenye silaha hata kama atashtakiwa anaweza chomoka kirahisi tu,sababu alikuwa anafanya kwa mamlaka ya uenyekiti wa kamati ulinzi na usalama ya mkoa so wanaweza kushuku chochote cha hatari na wakaingia kukagua as long as hakuna raia mwema aliyeumizwa kwenye uvamizi huo.Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Inavyoonekana kwa sasa kila anayeshikilia misimao ya hayati au kuwa karibu na akina Makonda et al anaogopa kuchukiwa na watanzania.HUYU MTU SERIKALI INA KILA KITU IKAAMUA TU KUMPELEKA MAHAKAMANI WATAMNYONGA.
NA NI SUALA LA MUDA TU BASHITE HANA MAISHA MAREFU KWENYE POLITICAL EXPERIENCE.
Pia ana kaushamba fulani hivi hii kupost Insta kulalamika ni kukoleza 🔥.
Ndo alichokifanya Sabaya kwenda clouds.
Kwanini Bashite anafanya hivi ni baada ya kuomba access ya kukutana na Mama Kukataliwa saiv anatapatapa.
Na Mama hana tatizo ila tatizo liko kwa Deep state. Deep state wamekaza hawataki mazoea na Bashite coz now ni kama gunia la mavi ukilibeba lazima unuke.
Na Bashite ana nuksi watu wote aliowafanyia fitina leo hii ni prolific gentlemens of the state.
Kumbe wanalipwa?🤣Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae atakuwa na ushahidi usio kuwa na shaka wa ufisadi wa Makonda atauweka hapa. If anything huo ushahidi hivi sasa uko kwenye vyombo vinavyohusika!! Hivi wewe kweli unadhani Marekani wangempiga marufuku Makonda kuingia nchini mwao bila ushahidi wa kuwa ni muhalifu?
Nyie wapambe mnaomlia hela zake ndio mnakuja na hizo thread za kijinga eti watu waweke ushahidi hapa, ili iweje? Mnamlia Bashite vijihela vyake vya mwisho mwisho kabla ya kufilisika hamna hata huruma!