Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
KabisaSawasawa.
Ukiwa tayari nijulishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaSawasawa.
Ukiwa tayari nijulishe.
Ghete ghete kakima kha ng'wanza bhebhe nyanda kalekage duhghashi Numbi wako Kaya ise ale nsukuma o mwanike mweneyo?
Fanya hiviNifanyeje
KweliiiEpuka mtego huo apa anakua ana power juu yako. Hio mbinu ilitumiwa sana na Virgin queen wa Uingereza ili kuwa na nguvu juu ya watawala wengine inshort huyo demu hatokuja akupe chochote
Ila ndo hataki kukujibu😂 au ndo unataka usikie aoisema "sikupendi" 🙌🏿Nishamwambia sio kwamba hajui anajua
Ninauchungu sanaMwenzako anakua mgumu kutoa jibu wewe unakua mwepesi kutoa pesa.!!!
Ksti ya pesa na jibu kipi cha thamani dunia hii?
Broo huna uchungu na hizo hela.
Ndio natak jibu hapanaIla ndo hataki kukujibu😂 au ndo unataka usikie aoisema "sikupendi" 🙌🏿
Kua mgumu kutoa sasaNinauchungu sana
Kuna wengine huwa hawajibu direct mkuuNdio natak jibu hapana
Dharau huwa ni kama upinzani flani'vi halafu inavutia!Wapo wengi ila wenye sifa kama zake hamna napenda mwanamke mwenye dharau sijui kwanini
Jf ni library kila neno na kila tendo linahifadhiwaLeo kwanza umepika nini? kijana
View attachment 3260385
Mwanaume ni akili, urijali & uchumi angalia utumie silaha ipiAhahah sijakueleaa hapo
Nina urijali tu 🤣Mwanaume ni akili, urijali & uchumi angalia utumie silaha ipi
Kama ni kweli aisee umeivaa unafaa uende 92KJ ukapige kozi. Yani mwaka haujapewa jibu na wewe upo tuu? Kwani anakitu gani special sanaa ambacho kati ya wanawake 10 hapatakosa kumpata aliyenacho?Hellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000