Wewe mwenyewe unapenda makalio makubwa, alafu bint akitanguliza pesa kama priority unaanza kulalamika "ooh mademu wa siku hizi wanapenda hela sana"

Wewe mwenyewe unapenda makalio makubwa, alafu bint akitanguliza pesa kama priority unaanza kulalamika "ooh mademu wa siku hizi wanapenda hela sana"

Unataka wenye makalio tuanze kutukanwa 😔😔😔🥴🥴🥴
Screenshot_20241118-064511~2.png
 
Kama mwanaume priority yako ni kupenda makalio makubwa.

Na mwanamke priority yake ni kupenda pesa.

Kwanini tena lawama ya tamaana ulafi inakujuwa juu ya mwanamke
Hata ukimtaka asiye nà makalio makubwa, kuomba pesa kuko pale pale.
Hiyo ni kwa wanawake wote.
 
Back
Top Bottom