Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Ada ya wazazi uliitumia vizuriTafuta maana ya time value of money na maana ya inflation. 30,000 ya sasa ni sawa na 500 ya mwaka fulani. Ukiwa unapiga hesabu kwa sasa unataja thamani ya sasa hivi na ukipiga hesabu ya zamani unataja kiasi kile kisha subject ya thamani ya sasa.
Serikali ni mfumo; na watu wake wana maisha yaoYaani uliona wapi wananchi wakawa Sirius na maisha wakati serikali yao yenyewe ipoipo tu.
We umesema elfu10 tu bila mchanganuo. Kiufupi mtoto hatumii pesa hiyo kwa siku labda maisha yenu huko dsm.Haya, weka hesabu zako sasa
Tunaendelea kurithishana umasikini, kutoka kizazi kimoja kwenda kingine
Tuwaheshimu wazazi wetu, na ikiwezekana tuwaombe msamaha kwa kuwasababishia umasikini.Tumefikia uko dah kwahiyo unatakaje
Wanatumia kiasi gani?We umesema elfu10 tu bila mchanganuo. Kiufupi mtoto hatumii pesa hiyo kwa siku labda maisha yenu huko dsm.
Ndiyo ujue sasa, serikali ndo wanaweka mfumo then wananchi wanafuata.Serikali ni mfumo; na watu wake wana maisha yao
Tusubiri wataalamu waje watupe majibuTulishakataaaa
Kwanza ukiona watu hawana pesa sijui wanapata wapi hamu ya kuzalishana
Tena kw mtu mmoja jamaa kapuyanga kweliUlianza mada vizuri ila kwenye mfano ndo umeharibu...unaleta mfano wa elfu10? Unazungumzia familia za wapi mzee
Nini kifanyikeNdiyo ujue sasa, serikali ndo wanaweka mfumo then wananchi wanafuata.
Ukienda China hawana matumizi ya sukari kwa asilimia kubwa, iliwekwa na serikali then wananchi wamefuata.
Umasikini wetu inachagizwa na mfumo uliopangiliwa na serikali.
Weka hesabu zako hapo, tuzijadiliMaisha hayatafsiriwi kiurahisi namna hiyo na kwa hesabu za kitoto namna hiyo!!rudi kaa chini then utafakari upya,,Jipambanue Kwanza wewe na maisha yako,,alafu sasa ujue na upembuzi Bora wa maisha ya wengine!!
Weka hesabu zako hapo tujifunzeTena kw mtu mmoja jamaa kapuyanga kweli
Unaoneka mtata sana kwa wazazi πUlichagua kuzaliwa?
Kwamba mtoto anazaliwa kwa kupewa taarifa kwamba sasa tuna kuzaa?
Mtoto HAUSIKI na umaskini wa wazazi...
Familia zetu uswahiloni likiachwa la teni hta km mko 7 imeisha hyyo kwa sikuWeka hesabu zako hapo tujifunze
Maisha ni zaidi ya hesabu!!Weka hesabu zako hapo, tuzijadili