Wewe ndio chanzo cha umasikini katika familia yenu

Hesabu hizi bia ya 10 na kisungura
K1 kichwani. Tunachosha u bongo
 
Mtoa mada uko sahii Sana[emoji848]
 
Labda kama unatafsiri zako binafsi. Angalia kwenye kamusi maana ya umaskini ama poverty kwenye dictionary
Na ni kweli Utajiri na umaskini na hata lolote lile katika maisha ni utafsiri binafsi,,Maisha ni utafsiri binafsi wa kila kilicho kwenye maisha,,na kama kila kilicho kwenye maisha kina tafsiri yake kwa ubinafsi wake!!
 
Isee, hakuna mzazi anaetumia liten Kila siku Kwa ajili ya mwanae, jifunze kusoma vitabu
 
Unafaa kua mwalimu mzuri[emoji4][emoji106]
 
Wee jamaa unamwaga madini sana[emoji4][emoji106]
 
Kwani huyo mtoto amewaomba wamzae. Yeye atakuweje chanzo cha umasikini wao? Wakati yeye alikuwa kimya huko aliko wala alikuwa hana mpango wa kuzaliwa. Kiherehere chai na nyege zao ndio zimepelekea hayo yote. Wapambane na hali zao.
 
Kama ni hivyo basi umasikin wa wazazi wengi upo kwenye maamzi yao wenyewe.

Na je kama wangeamua wasiwe na watoto wangekuwa na hicho kiasi cha pesa kwa muda ulioutaja?

Vipi wale watoto wanaohusika kwenye shughili za uzalishaji za familia zao bila malipo?
Suala la umasikini halina sababu moja wala mbili, pia rasilimali huwa hazitoshi .
 
Kuna watu huwaga na point sana ila wakiweka tu mfano point nzima inageuka kimba
Epuka sana kutumia mifano kama hujafanya research
Uliposema familia ya watu Saba 70,000@1day kibongo bongo hii ni familia ya kitajiri mno Wala sio middle income.
Naogopa kutoa mifano nisije nikanya na mimi tukaonekana wote wasazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…