THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #61
Kajificha ndiyo. Katoa kauli gani zaidi ya kuziba masikio. Serikali haiendeshwi kwa kuziba masikio.
Kwani Magu aliwahi kuuza bandari
Jomba hapa mwisho sijaelewa Dr Slaa kaendekeza tumbo na njaa yake kivipi, maana nimeshasahau yaliyojiri
4 Jee Dr.Slaa mbona hakuja hadhari kujibu kashfa ya kununuliwa na Magufuli kama nguruwe WA mnadani akawacha kuwapigania wananchi?Ok,
1. Kwani rais katoa kauli?
2. Lini umekuwa askofu wa RC mpaka uuseme upadre wake?
3. Rais Samia aliposema .. nanukuu.. KULIKUWA NA SIMBA WA YUDA.. mwisho wa kunukuu. Ulielewa alimaanisha nini?
Huujui mwandiko wa Zito weweTunajua sana wewe ni Zitto na hii ni ID ile unayoitumia wakati rais ni muislam.
Hadharani vile alivyokaa Chato miezi miwili!!Magu alikuwa hajifichi wakati wa nyakati ngumu. Kumbuka aluvyodeal na korona hadharani
Sijui atakujibu....4 Jee Dr.Slaa mbona hakuja hadhari kujibu kashfa ya kununuliwa na Magufuli kama nguruwe WA mnadani akawacha kuwapigania wananchi?
Hujui kitu wewe! Unadhani watu wote wana akili ndogo kama wewe kiasi ambacho atabadilisha tu ID halafu aandike kwa ile ile style yake? Unajua hata maana ya criminal profiling na namna criminals wanavyoiepuka? Endelea kulala!Huujui mwandiko wa Zito wewe
Tena usitukumbushe kabisa machungu tuliyopitia kwa lile shetani lenu la ChatoUjinga na ushuzu.
Haya maujinga unayoyatetea, JPM aliyafanya?
Yaani we unaona Slaa ni Mkweli!Dokta Slaa ni mkweli na alichokisema ndio uhalisia kamili.
Kila mtanzania anajua kwamba Samia anaongozwa na Kikwete pamoja na hilo genge la mafisadi.
Wewe mleta hoja ndie mpumbavu wa kitanzania kundi la kina Maulid Kitenge mnaoendeshwa na matumbo badala ya ubongo.
Shame on you!
Huna hoja. ANyway, leta ushahidi kuwa alinunuliwa kama nguruwe..!!4 Jee Dr.Slaa mbona hakuja hadhari kujibu kashfa ya kununuliwa na Magufuli kama nguruwe WA mnadani akawacha kuwapigania wananchi?
Taja uwongo wake..!! NB weka na ushahidiYaani we unaona Slaa ni Mkweli!
Alikuwa anaongea lakini.Hadharani vile alivyokaa Chato miezi miwili!!
Huyo ni mtu wa islamic states😂😂😂😂😂😂wewe jamaa Mara nyingi sikuelewi. Kipindi cha JK ulikuwa pro JK sana. Alivoingia Jiwe ukapotea. Kaingia SSH naona na wewe umeibuka….anyway…I didn’t say nothing.