Wanavyo vyuo vyao. Wawapeleke huko.Ukiwasikiliza wanaoitetea hiyo kitu wanasema serikali inaandaa fursa kwa watakaosoma hiyo michepuo wakaanzishe makanisa na misikiti yao kwa maana ya kujiajiri
Mbona mapadre wanasoma kwenye vyuo vyao, vya Seminari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyo vyuo vyao. Wawapeleke huko.Ukiwasikiliza wanaoitetea hiyo kitu wanasema serikali inaandaa fursa kwa watakaosoma hiyo michepuo wakaanzishe makanisa na misikiti yao kwa maana ya kujiajiri
Kumjua Mungu ndicho chanzo Cha Maarifa na HEKIMA na ufahamu.
Sayansi ifundishwe, BIBLIA pia ifundishwe.
KabisaWanavyo vyuo vyao. Wawapeleke huko.
Mbona mapadre wanasoma kwenye vyuo vyao, vya Seminari.
Kama wanakubaliana kwa nini kuna madhehebu ya kiiskamu ya sunni, shia, kadiani, isnalia, ahmadiya, bohra , ansar sunna nk?Huna hoja. Katika Tahasusi kinachofundishwa kile wanachokubaliana wote. Kwa mfano katika uislamu kuna nguzo za uslamu, nguzo za imani, nguzo za suala. Kufunga, Kuswali, kuhiji, Kwenda Maka waislamu wote wanakwenda kuhiji Maka, Kwenda madina waislamu wote wsnakwenda huko na tarehe na mwezi ni mmoja wote wakiwa Maka, kuelekea kibla, vilivyo haramu nk. Vyote hivyo na vingine vingi wanakubaliana waislamu. Hata Qur'an ni moja tu, hakuna Qur'an ya bara wala Zanzibar.
Ni wakati sahihi suala la dini kufundishwa shuleni na vyuoni, kunaweza kuwepo hoja nyingi nzuri ila mimi naziona kuu 2Suala la serikali kuingiza udini kwenye eilimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekana serikali ikazifutilia mbali kwani utekelezaji wa hizi tahasusi tayari umeishaanza kuleta mkanganyiko miongoni mwa wanajamii wakitaka hizi tahasusi zifutiliwe mbali kwani serikali haina dini na haipaswi kuendekeza mambo ya udini hadi kuyaingiza kwenye mitaala ya elimu.
Wakati vumbi la sintofahamu kuhusu sakata hili halijatua, mdau mmoja wa elimu ametoa ufafanuzi ufuatao na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania wapenda amani wasiopenda kuchanganya dini na masuala ya elimu. Hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini:
MAONI YANGU
Namuuunga mkono huyu mwanazuoni 100% na naitaka serikali ifutilie mbali huu upuuzi kwenye mitaala ya elimu kwani unaweza kuligawa taifa pakubwa. Wewe fikiria dini ya asili na dini ya kihindu imeachwa bila kuingizwa kwenye mtaala unadhani wapagani na wahindu wataielewa serikali kwa kuwabagua kuwaharau kiasi hiki?
Pia tukumbuke hata wakristo na waislamu wamegawanyika sana. Yaani hili suala la udini litaleta mgawanyiko mkubwa sana katika taifa hili ikiwa hii serikal ya kusadikika itaendelea na msimamo wake wa kuingiza udini kwenye elimu.
Sasa hivi kila dhehebu lina biblia yake. Waumini wa Shia wana korani yao na waumini wa Ahmadiya wana korani yao pia. Aidha, korani zinazotumika Zanzibar ni tofauti na hizi zinazotumika hapa Tanganyika. Je, ni biblia au korani ipi itatumika kufundishia? Na je, itakuwa korani ya Zanzibar au ya Tanganyika? Kwa vyoyote vile serikali imefanya jambo la kipumbavu sana kuchomekea udini kwenye taaluma. Naomba wizara ya elimu iangalie upya hili suala kabla halijaigawa nchi vipande vipande.
Nawasilisha.
Allah akuongozeSuala la serikali kuingiza udini kwenye eilimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekana serikali ikazifutilia mbali kwani utekelezaji wa hizi tahasusi tayari umeishaanza kuleta mkanganyiko miongoni mwa wanajamii wakitaka hizi tahasusi zifutiliwe mbali kwani serikali haina dini na haipaswi kuendekeza mambo ya udini hadi kuyaingiza kwenye mitaala ya elimu.
Wakati vumbi la sintofahamu kuhusu sakata hili halijatua, mdau mmoja wa elimu ametoa ufafanuzi ufuatao na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania wapenda amani wasiopenda kuchanganya dini na masuala ya elimu. Hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini:
MAONI YANGU
Namuuunga mkono huyu mwanazuoni 100% na naitaka serikali ifutilie mbali huu upuuzi kwenye mitaala ya elimu kwani unaweza kuligawa taifa pakubwa. Wewe fikiria dini ya asili na dini ya kihindu imeachwa bila kuingizwa kwenye mtaala unadhani wapagani na wahindu wataielewa serikali kwa kuwabagua kuwaharau kiasi hiki?
Pia tukumbuke hata wakristo na waislamu wamegawanyika sana. Yaani hili suala la udini litaleta mgawanyiko mkubwa sana katika taifa hili ikiwa hii serikal ya kusadikika itaendelea na msimamo wake wa kuingiza udini kwenye elimu.
Sasa hivi kila dhehebu lina biblia yake. Waumini wa Shia wana korani yao na waumini wa Ahmadiya wana korani yao pia. Aidha, korani zinazotumika Zanzibar ni tofauti na hizi zinazotumika hapa Tanganyika. Je, ni biblia au korani ipi itatumika kufundishia? Na je, itakuwa korani ya Zanzibar au ya Tanganyika? Kwa vyoyote vile serikali imefanya jambo la kipumbavu sana kuchomekea udini kwenye taaluma. Naomba wizara ya elimu iangalie upya hili suala kabla halijaigawa nchi vipande vipande.
Nawasilisha.
Quran ni moja tu dunia nzima, ingawa madhehebu tofautiSuala la serikali kuingiza udini kwenye eilimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekana serikali ikazifutilia mbali kwani utekelezaji wa hizi tahasusi tayari umeishaanza kuleta mkanganyiko miongoni mwa wanajamii wakitaka hizi tahasusi zifutiliwe mbali kwani serikali haina dini na haipaswi kuendekeza mambo ya udini hadi kuyaingiza kwenye mitaala ya elimu.
Wakati vumbi la sintofahamu kuhusu sakata hili halijatua, mdau mmoja wa elimu ametoa ufafanuzi ufuatao na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania wapenda amani wasiopenda kuchanganya dini na masuala ya elimu. Hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini:
MAONI YANGU
Namuuunga mkono huyu mwanazuoni 100% na naitaka serikali ifutilie mbali huu upuuzi kwenye mitaala ya elimu kwani unaweza kuligawa taifa pakubwa. Wewe fikiria dini ya asili na dini ya kihindu imeachwa bila kuingizwa kwenye mtaala unadhani wapagani na wahindu wataielewa serikali kwa kuwabagua kuwaharau kiasi hiki?
Pia tukumbuke hata wakristo na waislamu wamegawanyika sana. Yaani hili suala la udini litaleta mgawanyiko mkubwa sana katika taifa hili ikiwa hii serikal ya kusadikika itaendelea na msimamo wake wa kuingiza udini kwenye elimu.
Sasa hivi kila dhehebu lina biblia yake. Waumini wa Shia wana korani yao na waumini wa Ahmadiya wana korani yao pia. Aidha, korani zinazotumika Zanzibar ni tofauti na hizi zinazotumika hapa Tanganyika. Je, ni biblia au korani ipi itatumika kufundishia? Na je, itakuwa korani ya Zanzibar au ya Tanganyika? Kwa vyoyote vile serikali imefanya jambo la kipumbavu sana kuchomekea udini kwenye taaluma. Naomba wizara ya elimu iangalie upya hili suala kabla halijaigawa nchi vipande vipande.
Nawasilisha.
Hakuna Qur'an ya Zanzibar wala Tanganyika, Qur'an haijawahi kubadilika tokea iteremshwe. Na hivi sasa ina miaka 1400.Suala la serikali kuingiza udini kwenye eilimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekana serikali ikazifutilia mbali kwani utekelezaji wa hizi tahasusi tayari umeishaanza kuleta mkanganyiko miongoni mwa wanajamii wakitaka hizi tahasusi zifutiliwe mbali kwani serikali haina dini na haipaswi kuendekeza mambo ya udini hadi kuyaingiza kwenye mitaala ya elimu.
Wakati vumbi la sintofahamu kuhusu sakata hili halijatua, mdau mmoja wa elimu ametoa ufafanuzi ufuatao na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania wapenda amani wasiopenda kuchanganya dini na masuala ya elimu. Hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini:
MAONI YANGU
Namuuunga mkono huyu mwanazuoni 100% na naitaka serikali ifutilie mbali huu upuuzi kwenye mitaala ya elimu kwani unaweza kuligawa taifa pakubwa. Wewe fikiria dini ya asili na dini ya kihindu imeachwa bila kuingizwa kwenye mtaala unadhani wapagani na wahindu wataielewa serikali kwa kuwabagua kuwaharau kiasi hiki?
Pia tukumbuke hata wakristo na waislamu wamegawanyika sana. Yaani hili suala la udini litaleta mgawanyiko mkubwa sana katika taifa hili ikiwa hii serikal ya kusadikika itaendelea na msimamo wake wa kuingiza udini kwenye elimu.
Sasa hivi kila dhehebu lina biblia yake. Waumini wa Shia wana korani yao na waumini wa Ahmadiya wana korani yao pia. Aidha, korani zinazotumika Zanzibar ni tofauti na hizi zinazotumika hapa Tanganyika. Je, ni biblia au korani ipi itatumika kufundishia? Na je, itakuwa korani ya Zanzibar au ya Tanganyika? Kwa vyoyote vile serikali imefanya jambo la kipumbavu sana kuchomekea udini kwenye taaluma. Naomba wizara ya elimu iangalie upya hili suala kabla halijaigawa nchi vipande vipande.
Nawasilisha.
QUran ni moja tu narudia tena ,haijawahi kutokea quran nyingine ingawa madhehebu tofauti ila hakujawahi kutokea quran tofauti, quran ya ahmadiya na bakwata ni hiyo hiyo mojaUsipotoshe watu mkuu. Korani ya Bakwata na Ahmadiya hazifanani. Sasa hao wanafunzi watasomaje?
Kuna mijitu imekaa kupinga kila kitu, hii nchi ina usalama wa taifa, wazee wa nchi, na vyombo mbali mbali kwa ajili ya ulinzi na maendeleo ya nchi, kuna watu akili zao kisa samia muislamu basi kila kitu anachofanya ni kwa ajili ya uislamu, ni ujinga mtupu na elimu duni ndio inazalisha vijana wavivu wa kufikiri kazi kulaumu na malalamikoBible knowledge na Islamic knowledge zimekuwa zikifundishwa Ordinary level hapa Tanzania Kwa miongo kadhaa ila hazikuwa zinafundishwa Advanced level, Sasa serkali imeamua iendelee kufundishwa advanced level Sasa sioni tatizo hapo. Kama tatizo ni udini, huko O level zinafundishwa Kwa miaka Sasa katika shule zote za uma kumutokea tatizo la udini?
Mtu anaepinga masomo ya dini kufundishwa advance level ikiwa o level yanafundishwa nashindwa kumuelewa kabisa
Je, wahindu na wapagani watafundishwa kwa kutumia korani au biblia? Maana inaonekana ulihusika kutunga huu mtaala wa kipuuzi usiokuwa na mwelekeo kwa taifa.Huna hoja. Katika Tahasusi kinachofundishwa kile wanachokubaliana wote. Kwa mfano katika uislamu kuna nguzo za uslamu, nguzo za imani, nguzo za suala. Kufunga, Kuswali, kuhiji, Kwenda Maka waislamu wote wanakwenda kuhiji Maka, Kwenda madina waislamu wote wsnakwenda huko na tarehe na mwezi ni mmoja wote wakiwa Maka, kuelekea kibla, vilivyo haramu nk. Vyote hivyo na vingine vingi wanakubaliana waislamu. Hata Qur'an ni moja tu, hakuna Qur'an ya bara wala Zanzibar.