Wizara: Sababu serikali kuanzisha tahasusi za dini hizi hapa

Wizara: Sababu serikali kuanzisha tahasusi za dini hizi hapa

Uraia na Maadili inaishia level ya primary hata baleghe bado...kuanzia O level na advance hakuna hilo somo la uraia na Maadili na ndiyo sehemu ambayo vijana wanabadilika sana....hebu Taja hiyo shule yako secondary inayofundisha uraia na Maadili
Maadili yanafundishwa kupitia somo la CIVICS au wewe unajua Civics ni nini? Huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Mimi nimesoma kama somo katika shule ya serikali na nimefanyia mtihani wa Taifa level zote ordinary na advanced level....shule ni Benjamin William Mkapa
Hilo somo lipo kwenye ratiba ya vipindi? Linafundishwa shule zote za umma? Acha kutetea ujinga mkuu.
 
W/tnz ni doule face hamtak somo la dini ajabu hampig kelele vp mtazibiti mikakat ya wanao eneza ushoga na usagaji mashlen au mmesha kubali yawafke tu
Kuna mtaala wa kueneza ushoga mashuleni?
Na nikuulize, vipi kuhusu takwimu za watoto wanaolawitiwa madrasa na kwa makasisi?
 
Sasa kama ni hivyo kwanini wawapotezee watoto muda kuwasomesha masomo ya kipumbavu wakati hayana msaada kwao? Masomo yaliyopo tayari ni mengi na yamewaelemea wanafunzi. Wanaona hilo halitoshi wanawaongezea tena masomo ya kipumbavu ambayo hayana mwelekeo wowote. Wee unaona hilo ni sawa au nawe unajitoa ufahamu kwa makusudi?
Eeeh, sasa wewe unanipinga ama uko nami?
 
Hilo somo lipo kwenye ratiba ya bvipindi? Linafundishwa shule zote za umma? Acha kutetea ujinga mkuu.
Ulisema ataje shule ya umma inayofundisha hayo masomo nimekutajia moja.....kama unataka nyingine ni hizi Azania,Kisutu,Tambaza,Jangwani,Kibasila,Temeke,Dar es salaam secondary etc....hizo zote ni za serikali na somo lipo katika ratiba ya vipindi kabisa...Hakuna anayetetea ujinga hapa
 
Maadili yanafundishwa kupitia somo la CIVICS au wewe unajua Civics ni nini? Huko shule ulienda kusomea ujinga?
Civics based on Uraia mkuu....na sio maadili hakuna somo la uraia na maadili katika level ya secondary....halafu Acha kejeli tujadili mada kistaarabu hakuna mtu ambaye hawezi kutukana humu
 
Hakuna HOJA hapo.

Masomo ya Divinity na yahusuyo kumjua Mungu mashuleni yarudishwe.

Na wote mnaopinga, mnaongozwa na shetani mwenyewe.
Wewe hoja yako ni ipi? Kwa hiyo unataka misikiti na makanisa yafungwe ili serikali ifanye kazi hiyo ya kiroho?
 
Kwa ninavyoelewa mimi, dini ni mfumo wa maisha wa jamii fulani. Hata ukisoma vitabu vya dini humo ndani utakuta historia ya jinsi jamii fulani ilivyoishi, vitu walivyoviamini, viongozi wao, mashujaa wao, vyakula vyao, sheria zao, changamoto walizopitia na jinsi walivyozitatua nk.

Kwa kifupi dini ni MILA na DESTURI za jamii fulani.

Sasa ni kitu cha kushangaza sana kuona MILA na DESTURI za jamii nyingine kuingizwa kwenye ELIMU YA JUU ya nchi nyingine!

Na ni kitu cha ajabu zaidi kuona MILA na DESTURI za jamii zetu za kiafrika hazijawekwa kwenye tahasusi HATA MOJA!
Mama Samia analazimisha kuislimisha nchi kwa msukumo wa warabu. Njaa itamuua.
 
Kule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,

Kwa kufanya hivyo Huwa wanajishughulisha na Dini?

Ifike Mahali watu waweze kutofautisha Dini na Imani.

Dini na Imani ni vitu viwili tofauti.
Dini na imani unawezaje kuvitenganisha mkuu?
 
Dini na imani unawezaje kuvitebganisha mkuu?
Waeza kuwa na dini usiwe na IMANI.

Waingiao Mbinguni ni wenye Imani katika kristo Yesu, Si dini.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Amen
 
Kweli kabisa mkuu. Misikitini na Makanisani ndimo dini inapaswa kufundishwa, sio kwenye shule za umma. Ina maana serikali haiamini kuwa watu wanaweza kupata elimu ya dini kwenye makanisa na misikiti hadi ianze kufundisha dini yenyewe mashuleni? La hasha! Ni upumbavu wa hali ya juu sana serikali kukubali maoni ya Mama Samia na waarabu wake kuingiza dini mashuleni.
Ninakubaliana nawe moja kwa moja kwamba hili la shule kufundisha dini limetoka kwa huyo mwanamke.
Na jinsi nchi hii ilivyo, hakuna wa kumkatalia wazo la kijinga kama hili.
 
Ni hiari wakati unaona wamelazimisha kila mwanafunzi asome dini mkuu? Uko serious kweli au unatania?
Hukuelewa kilicho andikwa hapo. Soma kwanza maoni ya aliyejibiwa, mkuu 'Rabbon', utaelewa jibu langu linahusu nini.
 
Kule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,

Kwa kufanya hivyo Huwa wanajishughulisha na Dini?

Ifike Mahali watu waweze kutofautisha Dini na Imani.

Dini na Imani ni vitu viwili tofauti.
Mimi nakataa maigizo ya aina yoyote yasiwemo katika shughuli za serikali yetu. Hizo Biblia/Quaran wanazoshika hao watu ni maigizo, iwe ni imani au dini, hilo kwangu halina maana.
Nielewe vizuri hapa, sijasema popote kuwa haitakiwi mtu kufuata dini au imani yoyote anayotaka mwenyewe; iwe ni maigizo ya kuwafurahisha watu walio karibu naye, au iwe kweli ni kufuata imani aliyo nayo moyoni mwake. Hayo ni yake mwenyewe na Mungu wake.
Mambo yote hayo inajulikana yanapopatikana - makanisani na kwenye misikiti, siyo serikalini au huko kwenye Bunge.

Huu ni upumbavu wa ajabu sana ulioingizwa katika elimu yetu.
 
Wewe mlokole mavi, umeandika pumba tupu, gazeti lote kama misa ya usiku
mnaendelea kushoboka na hio barua ya uwongo kenge nyie
sema ukweli, wewe unarafiki waa kiislamu???? Hauna ndio ukweli
Na huu ni ukweli, mimi sina na wala sikuhitaji kuwa na rafiki wa kikristu sababu mbeleni kwenye maisha hatutaenda sawa wala maongoezi na pia way of life ni tofauti mno na urafiki na mahusioano hayatakuwa sawa, na hata tuliosoma kuanzia msingi mpaka sekondari wengi wa wakristo niliosoma nao nimeona wamekuwa karibu na wakristo wenzao mbeleni na pia kwa waislamu ni hivyo hivyo
pamoja na kwamba umenitukana, mimi sitakutukana, kwangu mimi kutukana ni dhambi. wewe dini yako, hiyo inayokufanya usiwe rafiki na wakristo, ndio inakufundisha uwe na matusi hayo, wala sikushangai kwasababu sikutegemea kitu chochote chema kitoke kwako. wacha tu watakaosoma watathmini kati yangu mimi na wewe nani anamwabudu Mungu mzuri, huyo wako wa matusi na huyu wangu asiyetukana. Mungu akusaidie.
 
Shuleni ndipo wanakusanyika wote, maana Si Kila mtoto huenda nyumba hizo.

By the way, Kanisani ni siku moja pekee, shule siku SITA.

Wakifundushwa BIBLIA huko, Nuru itangara Kwa vizazi vyetu.
Ni kama nimekosoma hivii ila kwa lugha ya ngumu unatakiwa uwe na akili kuelewa unachomaanisha , kwamba si umeamua iwe hivyo sema suuu sie tupo nyomi tuchapane ile nchi ikae vizurii tuwe na adabu😂😂😂🙌🙌
 
Ni kama nimekosoma hivii ila kwa lugha ya ngumu unatakiwa uwe na akili kuelewa unachomaanisha , kwamba si umeamua iwe hivyo sema suuu sie tupo nyomi tuchapane ile nchi ikae vizurii tuwe na adabu😂😂😂🙌🙌
Uchaguzi ujao kura zitapigwa Kwa mlengo huo,

Na battle ground ni Kanda ya maji mengi baridi.

Na Mlawi ataingia kurudisha familia kwenye line.

Tusubiri!!
 
pamoja na kwamba umenitukana, mimi sitakutukana, kwangu mimi kutukana ni dhambi. wewe dini yako, hiyo inayokufanya usiwe rafiki na wakristo, ndio inakufundisha uwe na matusi hayo, wala sikushangai kwasababu sikutegemea kitu chochote chema kitoke kwako. wacha tu watakaosoma watathmini kati yangu mimi na wewe nani anamwabudu Mungu mzuri, huyo wako wa matusi na huyu wangu asiyetukana. Mungu akusaidie.
Kafe mbele huko na dua zako
 
Uchaguzi ujao kura zitapigwa Kwa mlengo huo,

Na battle ground ni Kanda ya maji mengi baridi.

Na Mlawi ataingia kurudisha familia kwenye line.

Tusubiri!!
Ila tulishasema 2025 haendi mtu vinginevyo tutandike jamvi Temeke tuimbe Tenzi
 
Mimi nataka kujua hao "wataalamu" wa mambo ya dini tutakaowazalisha kutokana na kufundisha tahasusi hizi mpya katika elimu ya juu, wanaandaliwa kuja kufanya kazi gani na watatatua changamoto gani katika jamii?
Haya maislamu ndio yanakazana kutuletea use.nge huu katika nchi hii. Yakiishiwa hoja utaona yanakimmbilia kwenye dini. Sijawahi kuona majitu ya ovyo kama haya hapa ulimwenguni. Yanalazimisha watoto wetu wapotezewe muda kusoma masomo ya dini ili iweje? Hukawii kusikia yanaanzisha vita ya jihad. Mapuuzi kweli!
 
Mungu ni Hana limits.

1. Ijumaa, JUMAMOSI na Jumapili kwenye nyumba za Ibada ataabudiwa.

2. Maofisini lazima aingie Mungu Ili watu waache kupokea RUSHWA.

3. Mashuleni lazima Mungu aingie Ili kusaidia watoto wetu wawe na HOFU ya Mungu, wajue dhambi ni nini, wakatae USHOGA, wizi, kutotii nknk wawe wema.

4. Mungu lazima aingie Bungeni Ili wabunge wasimamie HAKI na kuhakikisha wananchi wanapata HAKI Yao, wanapata mgao katika cake ya Taifa, nknk

5. Mungu aingie IKULU, Ili Mahali hapo pasigeuzwe pango la WANYANG'ANYI Bali pawe Mahali Patakatifu, maslah ya nchi yatangulizwe mbele.

6. Mungu aingie Kwa wavuvi, Baharini, ziwani na katika mito, Samaki waongezeke, wajue UVUVI haramu ni DHAMBI, waache uchawi Ili Ajali majini zipungue.

7. Mungu aingie migodini, wajue Mungu ndiye mwenye madini yote, waache kuua albino Kwa Imani mbovu, wajue Mungu yupo na wamtegemee, wasikwepe Kodi, Amani itawale, mashimo Yao yateme.

8. Mungu aingie mashambani, Ili mvua zije Kwa wakati, mazao yapatikane, chakula kuwepo Cha kutosha nchini, majanga yaondoke.

Mungu Si jini wa kufungiwa kwenye chupa pekee, Mungu Hana mipaka, tumkaribishe katika sekta zote.

Naunga mkono Divinity,mafundisho mashuleni ya Imani juu ya Mungu Mmoja yafundishwe mashuleni.

Amen

Umeelewa?
Na makanisa na misikiti yatafanya kazi gani mkuu? Au unataka yageuzwe kuwa shule?
 
Back
Top Bottom