Hili suala litaleta shida sana kwenye jamii wewe subiri utakuja kunikumbuka. Serikali imefanya jambo la kipimbi sana kuchanganya dini na elimu.Ma-CIA na ma- MI6 yamefanikiwa kwenye suala hili, na sisi tulivyo ma mbumbumbu tumeingiza dini kwenye elimu!
Wasome huko maana wanaopata tabu ni ambao masomo hayo hyawahusu.Kwa kuwa watoto wanakaa mashuleni muda mrefu,
Wafundishe kuhusu Mungu tangu msingi.
Naunga mkono HOJA 🙏
Mkuu umesikiliza video kwenye uzi? Hebu sikiliza video kwanza halafu urudi kuchangia.Shuleni ndipo wanakusanyika wote, maana Si Kila mtoto huenda nyumba hizo.
By the way, Kanisani ni siku moja pekee, shule siku SITA.
Wakifundushwa BIBLIA huko, Nuru itangara Kwa vizazi vyetu.
Kwani watoto wote lazima wafundishwe uislamu au ukristo? Je, wale wanaofuata dini za asili na uhindu huoni watakuwa hawajatendewa haki? Sikiliza vedeo kwenye uzi. Umekurupuka kujibu hoja kabla ya kusikiliza video mkuu.Kwa kuwa watoto wanakaa mashuleni muda mrefu,
Wafundishe kuhusu Mungu tangu msingi.
Naunga mkono HOJA 🙏
Hakuna HOJA hapo.Kwani watoto wote lazima wafundishwe uislamu au ukristo? Je, wale wanaofuata dini za asili na uhindu huoni watakuwa hawajatendewa haki? Sikiliza vedeo kwenye uzi. Umekurupuka kujibu hoja kabla ya kusikiliza video mkuu.
Kweli kabisa mkuu. Misikitini na Makanisani ndimo dini inapaswa kufundishwa, sio kwenye shule za umma. Ina maana serikali haiamini kuwa watu wanaweza kupata elimu ya dini kwenye makanisa na misikiti hadi ianze kufundisha dini yenyewe mashuleni? La hasha! Ni upumbavu wa hali ya juu sana serikali kukubali maoni ya Mama Samia na waarabu wake kuingiza dini mashuleni.Hakuna aliyekataza hizo dini kufundishwa huko makanisani na misikitini. Shule za sayansi na elimu dunia yote ni shughuli ya shule za maswala ya hapa duniani.
Serikali haina wajibu wowote kuingiza dini kwenye elimu.
SanaSerikali ya CCM inapenda kuchanganya elimu na dini ili kuwafanya wasomi wawe waoga kuhoji mambo ya msingi na kuwaachia mafisadi waendelee kuguguna rasilimali za umma. Hii ni mbaya sana.
Huyu mama hawa waarabu na waislamu anaowakumbatia ipo siku watamtokea puani. Bahati mbaya ni kwamba wanaofundishwa hayo masomo ya kipumbavu ni watoto wa wakulima tu.kitu ambacho sijaelewa ni hiki, wameandika barua ili wahesabu wanafunzi wa kiislam ni wangapi, wale wakristo wamehesabiwa?
1. kama wakiruhusu dini kufundishwa, kila watu wafundishwe kwa madhehebu yao. mfano, mimi ni mkristo, Mlokole, nisingependa kabisa mtoto wangu afundishwe dini ya padre, aende mchungaji wa kilokole akafundishe wanafunzi walokole.
2. kwenye hizo shule, wagawe madarasa, na wanafunzi wagawanywe, walokole watakuwa na darasa lao, walutherani darasa lao, anglican wanaoruhusu ndoa za mashoga wawe na la kwao, catholics wawe na darasa lao, AIC wawe na darasa lao na kina mwamposa wawe na madarasa yao.
3. Hii ni hatari sana, imeanza kuwatenga watoto kidini tangu wakiwa wadogo kabisa shuleni, wataendelea hivyo hadi watakapokuwa wazee. Samia atakuwa amekuwa rais wa kwanza kuleta utengano kwa minajili ya dini nchini hapa.
4. wale wanafunzi wanaosali pamoja, ndio watakuwa marafiki, ndio watasaidiana makazini wakimaliza shule, na wataonana ndugu kwa minajili ya dhehebu.
SAMIA ANAFIKIRI HII NCHI ANAIPELEKA WAPI? KWASABABU WAISLAM WAMETAKA BASI HATA TUKITENGA WATOTO NI POA TU? AU ANAFIKIRI HAPA NI ZANZIBAR? Huku bara tuna dini mbalimbali, na tuna madhehebu mbalimbali, na tumekuwa tukisoma pamoja bila kunyoosheana vidole kwamba huyu ni mpentecoste, huyu mkatoliki, huyu muislam, huyu mlutheran, huyu mni nini na nin, hatuna hiyo.
Sasa kama ni hivyo kwanini wawapotezee watoto muda kuwasomesha masomo ya kipumbavu wakati hayana msaada kwao? Masomo yaliyopo tayari ni mengi na yamewaelemea wanafunzi. Wanaona hilo halitoshi wanawaongezea tena masomo ya kipumbavu ambayo hayana mwelekeo wowote. Wee unaona hilo ni sawa au nawe unajitoa ufahamu kwa makusudi?Kumjua Mungu na dini ni vitu viwili tofauti. Mashuleni kuna Bible Studies na Islamic Studies, masomo haya yali/natosha kumpa mwanga mwanafunzi kuhusu imani yake. Haya mnayoleta ninyi ni dini. Kitu ambacho ni upumbavu tu.
Kwani huko misikitini haya mambo hayafundishwi hadi yafundishwe shuleni au huko misikitini mnafundishana kulawitiana tu?Quran ni moja tu hakuna ya Zanzibar wala ya Tanganyika .. ya mshia wala Msuni wote tunatumia kitabu kimoja kisicho na agano jipya wala la kale .. pia katika dini ya kiislam kuna mitaala mbalimbali ... Kama fiqhi , tawheed na kadhalika watoto wetu hawafundishwi tu kusoma na kukariri bali pia kujua utaratibu mzima wa dini ya kiislam kuanzia finance mpaka jinsi ya kuingia na kutoka chooni ..
Sasa hapa unaongea nin mkuu? Kuelewa asili ya imani kuna manufaa gani kwa mwanafunzi wa kitanzania kama sio kumrundikia masomo yasiyokuwa na kichwa wala miguu? Hivi unajua kuwa serikali haina dini?Ni wakati sahihi suala la dini kufundishwa shuleni na vyuoni, kunaweza kuwepo hoja nyingi nzuri ila mimi naziona kuu 2
1. Kuna ombwe kubwa la uelewa wa asili ya imani nyingi zilizopo Tanzania.
Hapa tumejikuta waumini na viongozi wa madhehebu mengi wote hatuna hata ule uelewa wa msingi( basics) ya ile imani yetu. Kinachofanyika ni utashi na uelewa binafsi vinavyojengwa katika ushawishi unaotumika kwa sasa kwa baadhi ya madhehebu.
Zikifundishwa shuleni na vyuoni naamini itasaidia kupunguza hii hali
2. Dini zimekuwa tasisi kubwa na zinawafuasi wengi. Tasisi zina muundo wake uongozi na utendaji pia.
Serikali kama mlezi/ msimamizi wa uhuru wa kuabudu kuna wajibu wakuepusha hatari zote zinazoweza kutokea kwa raia wake katika kutekeleza ibada zao vizuri. Hili linawezekana kwa kutoa elimu katika tasisi na kuwapima viongozi/waumini wao juu ya kile wanachokiamini ili kisije kuleta madhara kwa wengine na taifa kwa ujumla.
Huna hoja mkuu. Dini ndio zinabadilisha maadili ya wanafunzi? Si wanafundishwa somo la Uraia na Maadili? Hebu kaa chini utulie unywe maji halafu uskilize video kwenye uzi kisha urudi kuchangia hoja.Kwani hayo masomo ya dini si yameanza kufundishwa mda mrefu tu hata mitihani ya Taifa tumefanyia pia
Kilichofanyika sasa hivi ni kuyafanya yawe na tahasusi rasmi ambapo sio kitu kibaya....Dini zikifundishwa mashuleni tena ikiwa katika tahasusi hivi itasaidia kupunguza Uchafu ambao unafanywa na wanafunzi nowadays kwa kukosa maadili mashuleni....
Mkuu dini kama somo zilikuwa zinafundishwa kwenye seminari za kikristo na kiislamu tu. Sijawahi kuona kipindi cha dini kinafundishwa kama somo hadi kikaingizwa kwenye ratiba ya masomo kwenye shule za umma. Kama unafahamu shule ya umma iliyokuwa inafundisha somo la dini naomba uitaje hapa. Rudia tena kusoma uzi na kusikiliza video utaelewa.Bible knowledge na Islamic knowledge zimekuwa zikifundishwa Ordinary level hapa Tanzania Kwa miongo kadhaa ila hazikuwa zinafundishwa Advanced level, Sasa serkali imeamua iendelee kufundishwa advanced level Sasa sioni tatizo hapo. Kama tatizo ni udini, huko O level zinafundishwa Kwa miaka Sasa katika shule zote za uma kumutokea tatizo la udini?
Mtu anaepinga masomo ya dini kufundishwa advance level ikiwa o level yanafundishwa nashindwa kumuelewa kabisa
Huna hoja. Katika Tahasusi kinachofundishwa kile wanachokubaliana wote. Kwa mfano katika uislamu kuna nguzo za uslamu, nguzo za imani, nguzo za suala. Kufunga, Kuswali, kuhiji, Kwenda Maka waislamu wote wanakwenda kuhiji Maka, Kwenda madina waislamu wote wsnakwenda huko na tarehe na mwezi ni mmoja wote wakiwa Maka, kuelekea kibla, vilivyo haramu nk. Vyote hivyo na vingine vingi wanakubaliana waislamu. Hata Qur'an ni moja tu, hakuna Qur'an ya bara wala Zanzibar.
Acha ujinga mkuu. Wewe unaona ni sahihi wanafunzi kurundikiwa haya masomo ya kipumbavu wakati masomo yalipo tayari yamewalemea? Hivi hawa waarabu na dini zao mnaowakumbatia wanawapa nini? Tatizo nyie waislamu mnakubali kila kitu kutoka wa waarabu, hadi ushoga, halafu mnataka kuupandikiza kwa watoto wetu. Hatutakubali upumbavu huo.Kuna mijitu imekaa kupinga kila kitu, hii nchi ina usalama wa taifa, wazee wa nchi, na vyombo mbali mbali kwa ajili ya ulinzi na maendeleo ya nchi, kuna watu akili zao kisa samia muislamu basi kila kitu anachofanya ni kwa ajili ya uislamu, ni ujinga mtupu na elimu duni ndio inazalisha vijana wavivu wa kufikiri kazi kulaumu na malalamiko