Kule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,Sasa unataka kulazimisha watu wajishughulishe na dini. Dini ni hiari ya kila mtu.
Mkuu 'Rabbon', leo vipi teana?
HATUTAKI MTUGAWE KIDINIKuna mijitu imekaa kupinga kila kitu, hii nchi ina usalama wa taifa, wazee wa nchi, na vyombo mbali mbali kwa ajili ya ulinzi na maendeleo ya nchi, kuna watu akili zao kisa samia muislamu basi kila kitu anachofanya ni kwa ajili ya uislamu, ni ujinga mtupu na elimu duni ndio inazalisha vijana wavivu wa kufikiri kazi kulaumu na malalamiko
HATUTAKIIIII😞HATUTAKI MTUGAWE KIDINI
Yaan ngumi mkononi nasemaje ngumi mkononi bila kuchimbika kuna watu hawaelewi mpaka uwavalishe mabanzi ya kichwaKabisakabisa aisee
😂😂afu mbona umenitag umejuaje kuwa ni mimi?Yaan ngumi mkononi nasemaje ngumi mkononi bila kuchimbika kuna watu hawaelewi mpaka uwavalishe mabanzi ya kichwa
HATUTAKI MTUGAWE KIDINI TUMEGOMAKule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,
Kwa kufanya hivyo Huwa wanajishughulisha na Dini?
Ifike Mahali watu waweze kutofautisha Dini na Imani.
Dini na Imani ni vitu viwili tofauti.
Mimi nakujua Mkuu,😂😂afu mbona umenitag umejuaje kuwa ni mimi?
TUMEGOMAAAA….ni HUJUMAAA🤒HATUTAKI MTUGAWE KIDINI TUMEGOMA
Usishtuke sana mkuu,Nimeshtuka kuona unaniita To yeye🙌
Pamoja sana….ngoja nivue gamba najaaaUsishtuke sana mkuu,
Mimi nataka kujua hao "wataalamu" wa mambo ya dini tutakaowazalisha kutokana na kufundisha tahasusi hizi mpya katika elimu ya juu, wanaandaliwa kuja kufanya kazi gani na watatatua changamoto gani katika jamii?Kweli kabisa mkuu. Misikitini na Makanisani ndimo dini inapaswa kufundishwa, sio kwenye shule za umma. Ina maana serikali haiamini kuwa watu wanaweza kupata elimu ya dini kwenye makanisa na misikiti hadi ianze kufundisha dini yenyewe mashuleni? La hasha! Ni upumbavu wa hali ya juu sana serikali kukubali maoni ya Mama Samia na waarabu wake kuingiza dini mashuleni.
W/tnz ni doule face hamtak somo la dini ajabu hampig kelele vp mtazibiti mikakat ya wanao eneza ushoga na usagaji mashlen au mmesha kubali yawafke tuVizazi havitapata faida yoyote kwa kufundishwa hayo masomo, zaidi vitaendelea kuwa dumavu.
Nuru ya uhakika ni sayansi na teknolojia.ce
Mungu ni Hana limits.HATUTAKI MTUGAWE KIDINI TUMEGOMA
Sawa Mkuu njoo basi nakusubiriaPamoja sana….ngoja nivue gamba najaaa
Hata katika vitabu hivyo vinavyofanana kuna baadhi ya mambo hayafanani kwa mfano amri kumi za Mungu kwa mujibu wa biblia ya WASABATO ni hizi hapa:Kama wanakubaliana kwa nini kuna madhehebu ya kiiskamu ya sunni, shia, kadiani, isnalia, ahmadiya, bohra , ansar sunna nk?
Eti watakubaliana una hakika watakubaliana? Mbona suala la kufunga na kufungua ranadhani tunaona wanatofautiana tena hapa hapa Tanganyika?
Biblia ya kikatoliki ina vitabu 72 wakati ile ya amaa wengine ina vitabu 64, ifuatwe ipi ,
Mtihani atatunga nani anayekubalika.
Usiunge mkono hoja kishabiki.
Nitajie nchi moja tu ya kiarabu ambayo ushoga au zinaa tu inaruhusiwa? Na nitajie nchi moja tu isiyokuwa ya kiislamu ambayo zinaa hairuhusiwi na ushoga?Acha ujinga mkuu. Wewe unaona ni sahihi wanafunzi kurundikiwa haya masomo ya kipumbavu wakati masomo yalipo tayari yamewalemea? Hivi hawa waarabu na dini zao mnaowakumbatia wanawapa nini? Tatizo nyie waislamu mnakubali kila kitu kutoka wa waarabu, hadi ushoga, halafu mnataka kuupandikiza kwa watoto wetu. Hatutakubali upumbavu huo.
Mimi nimesoma kama somo katika shule ya serikali na nimefanyia mtihani wa Taifa level zote ordinary na advanced level....shule ni Benjamin William MkapaMkuu dini kama somo zilikuwa zinafundishwa kwenye seminari za kikristo na kiislamu tu. Sijawahi kuona kipindi cha dini kinafundishwa kama somo hadi kikaingizwa kwenye ratiba ya masomo kwenye shule za umma. Kama unafahamu shule ya umma iliyokuwa inafundisha somo la dini naomba uitaje hapa. Rudia tena kusoma uzi na kusikiliza video utaelewa.
Wewe mlokole mavi, umeandika pumba tupu, gazeti lote kama misa ya usikukitu ambacho sijaelewa ni hiki, wameandika barua ili wahesabu wanafunzi wa kiislam ni wangapi, wale wakristo wamehesabiwa?
1. kama wakiruhusu dini kufundishwa, kila watu wafundishwe kwa madhehebu yao. mfano, mimi ni mkristo, Mlokole, nisingependa kabisa mtoto wangu afundishwe dini ya padre, aende mchungaji wa kilokole akafundishe wanafunzi walokole.
2. kwenye hizo shule, wagawe madarasa, na wanafunzi wagawanywe, walokole watakuwa na darasa lao, walutherani darasa lao, anglican wanaoruhusu ndoa za mashoga wawe na la kwao, catholics wawe na darasa lao, AIC wawe na darasa lao na kina mwamposa wawe na madarasa yao.
3. Hii ni hatari sana, imeanza kuwatenga watoto kidini tangu wakiwa wadogo kabisa shuleni, wataendelea hivyo hadi watakapokuwa wazee. Samia atakuwa amekuwa rais wa kwanza kuleta utengano kwa minajili ya dini nchini hapa.
4. wale wanafunzi wanaosali pamoja, ndio watakuwa marafiki, ndio watasaidiana makazini wakimaliza shule, na wataonana ndugu kwa minajili ya dhehebu.
SAMIA ANAFIKIRI HII NCHI ANAIPELEKA WAPI? KWASABABU WAISLAM WAMETAKA BASI HATA TUKITENGA WATOTO NI POA TU? AU ANAFIKIRI HAPA NI ZANZIBAR? Huku bara tuna dini mbalimbali, na tuna madhehebu mbalimbali, na tumekuwa tukisoma pamoja bila kunyoosheana vidole kwamba huyu ni mpentecoste, huyu mkatoliki, huyu muislam, huyu mlutheran, huyu mni nini na nin, hatuna hiyo.
Uraia na Maadili inaishia level ya primary hata baleghe bado...kuanzia O level na advance hakuna hilo somo la uraia na Maadili na ndiyo sehemu ambayo vijana wanabadilika sana....hebu Taja hiyo shule yako secondary inayofundisha uraia na MaadiliHuna hoja mkuu. Dini ndio zinabadilisha maadili ya wanafunzi? Si wanafundishwa somo la Uraia na Maadili? Hebu kaa chini utulie unywe maji halafu uskilize video kwenye uzi kisha urudi kuchangia hoja.