Maadili yanafundishwa kupitia somo la CIVICS au wewe unajua Civics ni nini? Huko shule ulienda kusomea ujinga?Uraia na Maadili inaishia level ya primary hata baleghe bado...kuanzia O level na advance hakuna hilo somo la uraia na Maadili na ndiyo sehemu ambayo vijana wanabadilika sana....hebu Taja hiyo shule yako secondary inayofundisha uraia na Maadili
Hilo somo lipo kwenye ratiba ya vipindi? Linafundishwa shule zote za umma? Acha kutetea ujinga mkuu.Mimi nimesoma kama somo katika shule ya serikali na nimefanyia mtihani wa Taifa level zote ordinary na advanced level....shule ni Benjamin William Mkapa
Kuna mtaala wa kueneza ushoga mashuleni?W/tnz ni doule face hamtak somo la dini ajabu hampig kelele vp mtazibiti mikakat ya wanao eneza ushoga na usagaji mashlen au mmesha kubali yawafke tu
Eeeh, sasa wewe unanipinga ama uko nami?Sasa kama ni hivyo kwanini wawapotezee watoto muda kuwasomesha masomo ya kipumbavu wakati hayana msaada kwao? Masomo yaliyopo tayari ni mengi na yamewaelemea wanafunzi. Wanaona hilo halitoshi wanawaongezea tena masomo ya kipumbavu ambayo hayana mwelekeo wowote. Wee unaona hilo ni sawa au nawe unajitoa ufahamu kwa makusudi?
Ulisema ataje shule ya umma inayofundisha hayo masomo nimekutajia moja.....kama unataka nyingine ni hizi Azania,Kisutu,Tambaza,Jangwani,Kibasila,Temeke,Dar es salaam secondary etc....hizo zote ni za serikali na somo lipo katika ratiba ya vipindi kabisa...Hakuna anayetetea ujinga hapaHilo somo lipo kwenye ratiba ya bvipindi? Linafundishwa shule zote za umma? Acha kutetea ujinga mkuu.
Civics based on Uraia mkuu....na sio maadili hakuna somo la uraia na maadili katika level ya secondary....halafu Acha kejeli tujadili mada kistaarabu hakuna mtu ambaye hawezi kutukana humuMaadili yanafundishwa kupitia somo la CIVICS au wewe unajua Civics ni nini? Huko shule ulienda kusomea ujinga?
Wewe hoja yako ni ipi? Kwa hiyo unataka misikiti na makanisa yafungwe ili serikali ifanye kazi hiyo ya kiroho?Hakuna HOJA hapo.
Masomo ya Divinity na yahusuyo kumjua Mungu mashuleni yarudishwe.
Na wote mnaopinga, mnaongozwa na shetani mwenyewe.
Mama Samia analazimisha kuislimisha nchi kwa msukumo wa warabu. Njaa itamuua.Kwa ninavyoelewa mimi, dini ni mfumo wa maisha wa jamii fulani. Hata ukisoma vitabu vya dini humo ndani utakuta historia ya jinsi jamii fulani ilivyoishi, vitu walivyoviamini, viongozi wao, mashujaa wao, vyakula vyao, sheria zao, changamoto walizopitia na jinsi walivyozitatua nk.
Kwa kifupi dini ni MILA na DESTURI za jamii fulani.
Sasa ni kitu cha kushangaza sana kuona MILA na DESTURI za jamii nyingine kuingizwa kwenye ELIMU YA JUU ya nchi nyingine!
Na ni kitu cha ajabu zaidi kuona MILA na DESTURI za jamii zetu za kiafrika hazijawekwa kwenye tahasusi HATA MOJA!
Dini na imani unawezaje kuvitenganisha mkuu?Kule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,
Kwa kufanya hivyo Huwa wanajishughulisha na Dini?
Ifike Mahali watu waweze kutofautisha Dini na Imani.
Dini na Imani ni vitu viwili tofauti.
Waeza kuwa na dini usiwe na IMANI.Dini na imani unawezaje kuvitebganisha mkuu?
Ninakubaliana nawe moja kwa moja kwamba hili la shule kufundisha dini limetoka kwa huyo mwanamke.Kweli kabisa mkuu. Misikitini na Makanisani ndimo dini inapaswa kufundishwa, sio kwenye shule za umma. Ina maana serikali haiamini kuwa watu wanaweza kupata elimu ya dini kwenye makanisa na misikiti hadi ianze kufundisha dini yenyewe mashuleni? La hasha! Ni upumbavu wa hali ya juu sana serikali kukubali maoni ya Mama Samia na waarabu wake kuingiza dini mashuleni.
Hukuelewa kilicho andikwa hapo. Soma kwanza maoni ya aliyejibiwa, mkuu 'Rabbon', utaelewa jibu langu linahusu nini.Ni hiari wakati unaona wamelazimisha kila mwanafunzi asome dini mkuu? Uko serious kweli au unatania?
Mimi nakataa maigizo ya aina yoyote yasiwemo katika shughuli za serikali yetu. Hizo Biblia/Quaran wanazoshika hao watu ni maigizo, iwe ni imani au dini, hilo kwangu halina maana.Kule bungeni wanakoshika BIBLIA na vitabu vingine kuapa,
Kwa kufanya hivyo Huwa wanajishughulisha na Dini?
Ifike Mahali watu waweze kutofautisha Dini na Imani.
Dini na Imani ni vitu viwili tofauti.
pamoja na kwamba umenitukana, mimi sitakutukana, kwangu mimi kutukana ni dhambi. wewe dini yako, hiyo inayokufanya usiwe rafiki na wakristo, ndio inakufundisha uwe na matusi hayo, wala sikushangai kwasababu sikutegemea kitu chochote chema kitoke kwako. wacha tu watakaosoma watathmini kati yangu mimi na wewe nani anamwabudu Mungu mzuri, huyo wako wa matusi na huyu wangu asiyetukana. Mungu akusaidie.Wewe mlokole mavi, umeandika pumba tupu, gazeti lote kama misa ya usiku
mnaendelea kushoboka na hio barua ya uwongo kenge nyie
sema ukweli, wewe unarafiki waa kiislamu???? Hauna ndio ukweli
Na huu ni ukweli, mimi sina na wala sikuhitaji kuwa na rafiki wa kikristu sababu mbeleni kwenye maisha hatutaenda sawa wala maongoezi na pia way of life ni tofauti mno na urafiki na mahusioano hayatakuwa sawa, na hata tuliosoma kuanzia msingi mpaka sekondari wengi wa wakristo niliosoma nao nimeona wamekuwa karibu na wakristo wenzao mbeleni na pia kwa waislamu ni hivyo hivyo
Ni kama nimekosoma hivii ila kwa lugha ya ngumu unatakiwa uwe na akili kuelewa unachomaanisha , kwamba si umeamua iwe hivyo sema suuu sie tupo nyomi tuchapane ile nchi ikae vizurii tuwe na adabuπππππShuleni ndipo wanakusanyika wote, maana Si Kila mtoto huenda nyumba hizo.
By the way, Kanisani ni siku moja pekee, shule siku SITA.
Wakifundushwa BIBLIA huko, Nuru itangara Kwa vizazi vyetu.
Uchaguzi ujao kura zitapigwa Kwa mlengo huo,Ni kama nimekosoma hivii ila kwa lugha ya ngumu unatakiwa uwe na akili kuelewa unachomaanisha , kwamba si umeamua iwe hivyo sema suuu sie tupo nyomi tuchapane ile nchi ikae vizurii tuwe na adabuπππππ
Kafe mbele huko na dua zakopamoja na kwamba umenitukana, mimi sitakutukana, kwangu mimi kutukana ni dhambi. wewe dini yako, hiyo inayokufanya usiwe rafiki na wakristo, ndio inakufundisha uwe na matusi hayo, wala sikushangai kwasababu sikutegemea kitu chochote chema kitoke kwako. wacha tu watakaosoma watathmini kati yangu mimi na wewe nani anamwabudu Mungu mzuri, huyo wako wa matusi na huyu wangu asiyetukana. Mungu akusaidie.
Ila tulishasema 2025 haendi mtu vinginevyo tutandike jamvi Temeke tuimbe TenziUchaguzi ujao kura zitapigwa Kwa mlengo huo,
Na battle ground ni Kanda ya maji mengi baridi.
Na Mlawi ataingia kurudisha familia kwenye line.
Tusubiri!!
Haya maislamu ndio yanakazana kutuletea use.nge huu katika nchi hii. Yakiishiwa hoja utaona yanakimmbilia kwenye dini. Sijawahi kuona majitu ya ovyo kama haya hapa ulimwenguni. Yanalazimisha watoto wetu wapotezewe muda kusoma masomo ya dini ili iweje? Hukawii kusikia yanaanzisha vita ya jihad. Mapuuzi kweli!Mimi nataka kujua hao "wataalamu" wa mambo ya dini tutakaowazalisha kutokana na kufundisha tahasusi hizi mpya katika elimu ya juu, wanaandaliwa kuja kufanya kazi gani na watatatua changamoto gani katika jamii?
Na makanisa na misikiti yatafanya kazi gani mkuu? Au unataka yageuzwe kuwa shule?Mungu ni Hana limits.
1. Ijumaa, JUMAMOSI na Jumapili kwenye nyumba za Ibada ataabudiwa.
2. Maofisini lazima aingie Mungu Ili watu waache kupokea RUSHWA.
3. Mashuleni lazima Mungu aingie Ili kusaidia watoto wetu wawe na HOFU ya Mungu, wajue dhambi ni nini, wakatae USHOGA, wizi, kutotii nknk wawe wema.
4. Mungu lazima aingie Bungeni Ili wabunge wasimamie HAKI na kuhakikisha wananchi wanapata HAKI Yao, wanapata mgao katika cake ya Taifa, nknk
5. Mungu aingie IKULU, Ili Mahali hapo pasigeuzwe pango la WANYANG'ANYI Bali pawe Mahali Patakatifu, maslah ya nchi yatangulizwe mbele.
6. Mungu aingie Kwa wavuvi, Baharini, ziwani na katika mito, Samaki waongezeke, wajue UVUVI haramu ni DHAMBI, waache uchawi Ili Ajali majini zipungue.
7. Mungu aingie migodini, wajue Mungu ndiye mwenye madini yote, waache kuua albino Kwa Imani mbovu, wajue Mungu yupo na wamtegemee, wasikwepe Kodi, Amani itawale, mashimo Yao yateme.
8. Mungu aingie mashambani, Ili mvua zije Kwa wakati, mazao yapatikane, chakula kuwepo Cha kutosha nchini, majanga yaondoke.
Mungu Si jini wa kufungiwa kwenye chupa pekee, Mungu Hana mipaka, tumkaribishe katika sekta zote.
Naunga mkono Divinity,mafundisho mashuleni ya Imani juu ya Mungu Mmoja yafundishwe mashuleni.
Amen
Umeelewa?