Wizara ya Afya: Tutatoa taarifa kama kuna ongezeko la Magonjwa ya Mfumo wa Upumuaji
Hapo Kila Mtu Atauchukua Mzigo Wake Mwenyewe



Anzeni Kupiga Nyungu, Limao, Barakoa, Tangawizi, Epuka Mikusanyika,
 
Kumekucha,kumekujwa
 

Attachments

  • 1674402766700.jpg
    1674402766700.jpg
    39 KB · Views: 4
Mbona mjane wa Membe amezungushiwa utepe asigusane na watu wengine?
 
Ni kwamba 'Kitu cha Kichina' kimerejea kwa Kasi ya Kinyemela na kwamba hata aliopita nao Israeli ghafla Mikocheni Juzi na Mnazi Mmoja leo tunazugwa tu ila ni 'Kitu cha Kichina' kilichorejea.

Na taarifa nilizozipata ni kwamba Wahusika wa Wizara husika na Mamlaka zingine zinakaa Kikao dharula ili kuwatangazia Wabongo juu ya 'Kitu cha Kichina' kusudi kila Mtu aanze kuchukua Tahadhari.

Na Kinachowaumiza Kichwa zaidi ni kuwa je, Wakitangaza uwepo wake rasmi Watalii hawatapungua? Je, Filamu ya Royo Tua itakuwa na la maana tena?

Ngoja sasa na Mimi GENTAMYCINE nianze Kupangua Nguo zangu moja baada ya nyingine nitafute zilikojificha Barakoa zangu Tukuka ili nami nisiwe THE NEXT baada ya Mmwela na Mgogo kisha nchi ikatikisika na JamiiForums nako Kukatikisika.
NATURE NA KIAFYA HUSHAURIWA UONAPO UNAKIKOHOZI UVAE BARAKOA NA USAFI WA KUNAWA MIKONO MARA KWA MARA IWE JADI YETU KWANI NI KWA AJILI YA AFYA ZETU NA SI LAZIMA WIZARA YA AFYA IKAE IKITUFUNZA YALEYALE KILA SIKU KWANI NI FEDHEA KWA JITU ZIMA KUFUNZWA KANUNI ZA AFYA KILA SIKU, "ENDAPO UNA MAFUA VAA BARAKOA KULINDA WENGINE" HATA ULAYA NDIVYO INAVYOSHAURIWA, PIA UNAPONAWA MIKONO NIKUZURI KWA AFYA YAKO!
 
Ni kwamba 'Kitu cha Kichina' kimerejea kwa Kasi ya Kinyemela na kwamba hata aliopita nao Israeli ghafla Mikocheni Juzi na Mnazi Mmoja leo tunazugwa tu ila ni 'Kitu cha Kichina' kilichorejea.

Na taarifa nilizozipata ni kwamba Wahusika wa Wizara husika na Mamlaka zingine zinakaa Kikao dharula ili kuwatangazia Wabongo juu ya 'Kitu cha Kichina' kusudi kila Mtu aanze kuchukua Tahadhari.

Na Kinachowaumiza Kichwa zaidi ni kuwa je, Wakitangaza uwepo wake rasmi Watalii hawatapungua? Je, Filamu ya Royo Tua itakuwa na la maana tena?

Ngoja sasa na Mimi GENTAMYCINE nianze Kupangua Nguo zangu moja baada ya nyingine nitafute zilikojificha Barakoa zangu Tukuka ili nami nisiwe THE NEXT baada ya Mmwela na Mgogo kisha nchi ikatikisika na JamiiForums nako Kukatikisika.
Kweli mzee ukiondoka wewe Jamii forum itatikisika
Mungu atuepushe na hili janga
 
Kweli mzee ukiondoka wewe Jamii forum itatikisika
Mungu atuepushe na hili janga
Je zamani watu walikuwa hawafi kwa shida za kifua kama kifaduro Jamii ya pumu kali na mengineyo? Je rate ipo kiasi gani au kasi ya vifo!, wapo ambao wapo kwenye dose za arv kwa muda mrefu na nk.
 
Back
Top Bottom