dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
wacha inyeshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuone Panavujawacha inyeshe
Nawaomba wananchi muendelee kuzingatia kanuni za Afya na Usafi.#MtuNiAfya
NATURE NA KIAFYA HUSHAURIWA UONAPO UNAKIKOHOZI UVAE BARAKOA NA USAFI WA KUNAWA MIKONO MARA KWA MARA IWE JADI YETU KWANI NI KWA AJILI YA AFYA ZETU NA SI LAZIMA WIZARA YA AFYA IKAE IKITUFUNZA YALEYALE KILA SIKU KWANI NI FEDHEA KWA JITU ZIMA KUFUNZWA KANUNI ZA AFYA KILA SIKU, "ENDAPO UNA MAFUA VAA BARAKOA KULINDA WENGINE" HATA ULAYA NDIVYO INAVYOSHAURIWA, PIA UNAPONAWA MIKONO NIKUZURI KWA AFYA YAKO!Ni kwamba 'Kitu cha Kichina' kimerejea kwa Kasi ya Kinyemela na kwamba hata aliopita nao Israeli ghafla Mikocheni Juzi na Mnazi Mmoja leo tunazugwa tu ila ni 'Kitu cha Kichina' kilichorejea.
Na taarifa nilizozipata ni kwamba Wahusika wa Wizara husika na Mamlaka zingine zinakaa Kikao dharula ili kuwatangazia Wabongo juu ya 'Kitu cha Kichina' kusudi kila Mtu aanze kuchukua Tahadhari.
Na Kinachowaumiza Kichwa zaidi ni kuwa je, Wakitangaza uwepo wake rasmi Watalii hawatapungua? Je, Filamu ya Royo Tua itakuwa na la maana tena?
Ngoja sasa na Mimi GENTAMYCINE nianze Kupangua Nguo zangu moja baada ya nyingine nitafute zilikojificha Barakoa zangu Tukuka ili nami nisiwe THE NEXT baada ya Mmwela na Mgogo kisha nchi ikatikisika na JamiiForums nako Kukatikisika.
😂😄😆😅😅😁😂😂😄😄😆😆😅Barakoa za mtumba.! Ufukara mbaya sana.
Mtu akifa ghafla kwa dalili hizi: Kubanwa kifua, kushindwa kupumua, kukosa nguvu, mafua, kikohozi, maumivu ya mwili. Tunajua ni korona tu. Au wewe ungesemajeHivi Tanzania kinachoua watu maarufu huwa ni Corona tu??
HAKUNA HIYO KITU TANZANIA. AMINI HIVYO!Dude Limeamka Upya Upya
Kweli mzee ukiondoka wewe Jamii forum itatikisikaNi kwamba 'Kitu cha Kichina' kimerejea kwa Kasi ya Kinyemela na kwamba hata aliopita nao Israeli ghafla Mikocheni Juzi na Mnazi Mmoja leo tunazugwa tu ila ni 'Kitu cha Kichina' kilichorejea.
Na taarifa nilizozipata ni kwamba Wahusika wa Wizara husika na Mamlaka zingine zinakaa Kikao dharula ili kuwatangazia Wabongo juu ya 'Kitu cha Kichina' kusudi kila Mtu aanze kuchukua Tahadhari.
Na Kinachowaumiza Kichwa zaidi ni kuwa je, Wakitangaza uwepo wake rasmi Watalii hawatapungua? Je, Filamu ya Royo Tua itakuwa na la maana tena?
Ngoja sasa na Mimi GENTAMYCINE nianze Kupangua Nguo zangu moja baada ya nyingine nitafute zilikojificha Barakoa zangu Tukuka ili nami nisiwe THE NEXT baada ya Mmwela na Mgogo kisha nchi ikatikisika na JamiiForums nako Kukatikisika.
Je zamani watu walikuwa hawafi kwa shida za kifua kama kifaduro Jamii ya pumu kali na mengineyo? Je rate ipo kiasi gani au kasi ya vifo!, wapo ambao wapo kwenye dose za arv kwa muda mrefu na nk.Kweli mzee ukiondoka wewe Jamii forum itatikisika
Mungu atuepushe na hili janga
Mkuu kumbe ulishaonana naye!!!😁Acheni ujinga wenu, mnampa kichwa huyu mtoa mada mtu mfupi mwenye kitambi cha kiribatumbo