Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu Kama hicho. Ndumba na karma itawamaliza. Hadi waende wakatubu CHATO.View attachment 2621669
Kuhusu tetesi za uwepo wa #COVID19; Nawaomba wananchi muondoe hofu. Tunachakata taarifa tulizokusanya kutoka Hospitali/Vituo mbalimbali ndani ya wiki hii tutatoa taarifa kama kuna ongezeko la magonjwa ya mfumo wa hewa au la??
Kwa taarifa za wagonjwa waliopimwa virusi vya UVIKO-19 wiki ya tarehe 6 - 12 Mei 2023 Watu 6 kati ya 288 walithibitishwa kuwa na corona. Hii ikiwa ni pungufu ikilinganishwa na wiki ya tarehe 29/04/23 hadi 05/05/23. Hakuna kifo chochote kilicho thibitishwa kusababishwa na UVIKO-19
Wizara @wizara_afyatz inaendelea kufuatilia kwa karibu kwenye hospitali mbalimbali na tutawapa taarifa kamili.
Nawaomba wananchi muendelee kuzingatia kanuni za Afya na Usafi.#MtuNiAfya #afyayanguwajibuwangu
NakaziaTuendelee kujifukiza, hii "changamoto ya kifua na mapafu ni hatari"
Sana...duh hatari
SawasawaTuendelee kujifukiza, hii "changamoto ya kifua na mapafu ni hatari"
Yeah msisubiri taarifa rasmi kutoka mamlaka husika, jiongezeniNakazia
Queen Nani ? Zumaridi ?Nimemuona queen hapo juu
HAHAHA, NAWA MIKONO KILA MARA UWAPO NA MAFUA YA CHAFYA VAA BARAKOA KWANI NI USTAARABU MZURI.Unavyokutaja kwa Kujiamini hasa huko Ulaya utadhani umeshapakanyaga wakati kumbe tuko Wote tu hapa Kimbiji Mkoani Pwani huu mwaka wa 40.
Sisi tuna misiba miwili leo,yote kifua kupumuaJamii imeanza kustuka aisee.
Kuna unreported cases zinajiri kwa kasi kubwa huku mitaani.
Baba yake rafiki yangu tunamuaga leo kafariki kwa tatizo la upumuaji
Hata angekuwa mmoja,imetosha kutangazaShika hapa, hizo zingine ni kelele za wanasiasa tu
Mungu aingilie kati kutuepusha maana nchi haina uongozi bora kwa sasa.Sisi tuna misiba miwili leo,yote kifua kupumua