Wizara ya Fedha inamsaidia sana Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo

Wizara ya Fedha inamsaidia sana Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo

Hakika bongo nyoso kwelikweli.

Yaani unaniibia na unanieleza faida ya kuibiwa na kunifanya sina akili hata kidogo.

Skiza.
Unapokuja jukwaani kutetea ujinga mnaoufanya huko, jifunze kuwa huku kuna wataalam wa kila aina. Uongozi siyo incentive ya kuongeza kipaji bali ni dhamana hivyo usijifanye una akili kutuzidi.

Mnaposhindqa kusimamia fedha za umma na mnafikia kukwapua hata kidogo cha wananchi huku mkihakikisha mnaminya mianya muhimu ya kupata fedha msidhani hao wananchi ni wajinga

Tunachokijua ni kwamba mnampa ushauri mbaya Rais wetu ili tumchukie hivyo kurahisisha agenda zenu za kipuuzi.

Kama mnataka kuonesha uzalendo punguzeni mishahara yetu na marupurupu kwa asilimia 50% kisha mje kukwapua zetu.

Masnitch wahed

Haya ni makasiriko, siyo hoja.
 
Nyie ndio mnaoajiriwa na kukomba mishahara minono bila kuwa na weledi halafu unataka uje JF tuwapeni maarifa ya jinsi ya kumshauri Hangaya na mkifanikiwa hamsemi mlitumia akili za nani Mpaka mkafanikiwa!! You have to acknowledge kuwa BULESI ndio aliwapa hilo suluhisho!! Uzalendo una mwisho watu hawali uzalendo!!! Tonny Blair mnamlipa lakini wazalendo mnataka wawafanyie kazi bure!!!
Ngoja nikumegee kidogot basi. Wafanyabiashara na other middlemen wanaweza kuwa chanzo cha mfumuko wa bei whenever ARTIFICIAL shortages are created when they hoard commodities, hivyo serikali kwa kuthibiti hoarding of different commodities hakutakuwa na upungufu wa bidhaa sokoni na bei zake itabidi kushuka kwasababu there will be an increase in the supply of commodities to consumers!! Hopefully umeelewa.
Nasikia huko kwenye bonds benki kuu bei haikamatiki. Sababu zinaweza kuwa mbili - maeneo mengine ya biashara yamekuwa finyu na/au bot wanaota hati chache kwenye mnada na kusababisha upungufu wa makusudi. Kama hali itaendelea hivyo yawezekana vyanzo vya mapato ya serikali yakazidi kusinyaa kwa kupungua wigo wa uzalishaji. Kama sababu hizo sio porojo ni vizuri Waziri Mwigulu alitupie jicho lake hata suala hili ili kieleweke.
 
Nasikia huko kwenye bonds benki kuu bei haikamatiki. Sababu zinaweza kuwa mbili - maeneo mengine ya biashara yamekuwa finyu na/au bot wanaota hati chache kwenye mnada na kusababisha upungufu wa makusudi. Kama hali itaendelea hivyo yawezekana vyanzo vya mapato ya serikali yakazidi kusinyaa kwa kupungua wigo wa uzalishaji. Kama sababu hizo sio porojo ni vizuri Waziri Mwigulu alitupie jicho lake hata suala hili ili kieleweke.

Huu ndio mwenendo mzuri wa kujadiliana. Unaeleza unachofikiri, unatoa tahadhari mwisho unapendekeza cha kufanya.
Safi.
 
Nasikia huko kwenye bonds benki kuu bei haikamatiki. Sababu zinaweza kuwa mbili - maeneo mengine ya biashara yamekuwa finyu na/au bot wanaota hati chache kwenye mnada na kusababisha upungufu wa makusudi. Kama hali itaendelea hivyo yawezekana vyanzo vya mapato ya serikali yakazidi kusinyaa kwa kupungua wigo wa uzalishaji. Kama sababu hizo sio porojo ni vizuri Waziri Mwigulu alitupie jicho lake hata suala hili ili kieleweke.

Sidhani kama Mwigulu anaelewa haya mambo uliyoandika!!!! Ni mtupu sana ingawa anajinasibu kuwa ana Ph.D!!!
 
Sawa mkuu. Hoja yako ni ipi?

Hoja ni hivi serikali imeshindwa kuendesha nchi hali ya kiuchumi ni ngumu kwa wananchi walio wengi karibia kila kitu kimepanda bei. Yaani kila kitu nimesoma huko dsm wanalalamika chips nazo zimepanda bei.
Chuki katika jamii imeongezeka kutokana na ugumu wa maisha ulioletwa na huyu chief.
Mauaji ya ajabu ajabu katika jamii mf yule mama wa geita kunywesha sumu watoto na yeye pia kunywa sumu. Dodoma huko familia nzima imeuliwa, mwanza huko watu3 wa familia moja wameuliwa, sehemu nyingine mtoto kamuua mzazi, kuna mtunaye juzijuzi huko usariver aliuliwa kisa sijui elfu2.
Matukio ya watu kujinyonga nayo yanaripotiwa karibia kila siku .
Wapumbavu kama nyie mnaleta mapambio yenu ya kipuudhi
Hivi nyie mnaoposti mauongo ya kwamba nchi inakwenda vizuri mtakuwa labda hamuishi tanzania
 
Back
Top Bottom