Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ahsante kwa ukumbusho, kufunua kizibo ni maamuzi tu, ukiona kiko wazi ujue niliamua mwenyewe tu😉Mkuu ukumbuke kulinda na nanliiii wasijefunua kizibo cha asali! Alisikika mlevi mmoja,mwisho wa kunukuu.
Nami naomba kula masega!Haya ahsante kwa ukumbusho, kufunua kizibo ni maamuzi tu, ukiona kiko wazi ujue niliamua mwenyewe tu[emoji6]
Nimefika na tumekagua, hakuna kilichoharibiwa wala kuonekana kilikatwa au kuchomelewa, bali ni muffler ndio imechoka, na imeanza kupiga kelele. Muffler niliyonayo iliwekwa baada ya ile iliyokuja na gari kuchoka. Ikatafutwa nyingine inayoshabihiana. Wanakata halafu wanaunga 'mpya' kwa kuchomelea.Washakupiga hao, na kwa muda uliotumia gari watakukataa, huwez kuwafanya chochote
Nimefika na tumekagua catalytic converter na muffler. Hakuna kilichoharibiwa wala kuonekana kilikatwa au kuchomelewa, bali ni muffler ndio imechoka, na imeanza kupiga kelele.Utupe mrejesho mkuu!
Bongo tutafikia tu hatua hi.
Umeponea chupu chupu mkuu! Masega yamekua alumasi hapa mujini! Vijana wanayachakata haswaa! Kaeni chonjo,abiria chungeni mizigo yenuNimefika na tumekagua catalytic converter na muffler. Hakuna kilichoharibiwa wala kuonekana kilikatwa au kuchomelewa, bali ni muffler ndio imechoka, na imeanza kupiga kelele.
Nikimkamata mwizi /fundi ananiibia masega,ntamkeketa hadharani[emoji16]Niliona jana videos kadhaa Youtube. Huko Ulaya wanakata kabisa catalytic converter kama hao walivyofanya na kusepa na 'kibuyu'.
Sorry unamaanisha nini?Nami naomba kula masega!
Mnhh namuonea wivu anaelamba hiyo asali..Haya ahsante kwa ukumbusho, kufunua kizibo ni maamuzi tu, ukiona kiko wazi ujue niliamua mwenyewe tu😉
Kha kwanini Boss??Mnhh namuonea wivu anaelamba hiyo asali..
Nimehisi itakua tamu kulikoKha kwanini Boss??
Aah hapana mkuu kawaida tu na pengine ikawa vice versa pia(chungu)😀Nimehisi itakua tamu kuliko
injini itapasukaje na wewe wakati wenyewe ndio wameweka rpm hiyo?
Wamekuwekea Revolution per Minute Gauge ili uweze kufahamu kama rotation ni kubwa kiasi gani na uepuka madhara ya kupasua engine au ni muda gani ubadili gear. Pia uweze kubalance matumizi ya mafuta.injini itapasukaje na wewe wakati wenyewe ndio wameweka rpm hiyo?
mafundi wa kibongo wakati mwingine wanabahatisha hawafahamu vizuri magari, tulikuwa na safari ya mbea na gari mitsubishi pajero short chasis, kufika iringa gari ikakosa nguvu kabisa ikabidi tuingie gereji na ilibidi tulale, sasa wale mafundi wakasema masega ndio yanasababisha maana yameziba.Mafundi wa magari maswali yangu mbona sijibiwi?
Ni kweli ukishaibiwa hayo masega gari inaharibika?Kwa nini?
Na kwanini ni Brevis Tu zinaibiwa hayo masega???
Pole mkuu... masega mpaka yazibe gari likose nguvu si Kazi ya kitoto..mafundi wa kibongo wakati mwingine wanabahatisha hawafahamu vizuri magari, tulikuwa na safari ya mbea na gari mitsubishi pajero short chasis, kufika iringa gari ikakosa nguvu kabisa ikabidi tuingie gereji na ilibidi tulale, sasa wale mafundi wakasema masega ndio yanasababisha maana yameziba.
walifungua exhaust pipe wakayasaga saga yote yakawa unga na kuyatoa lkn gari ikawa bado haina nguvu. kumbe tatizo lilikuwa kuna sensor haifanyi kazi na ni upande wa engine tatizo ambalo alikuja kugundua fundi mwingine na box ya kufanyia diagnostic.
pamoja sana...notedWamekuwekea Revolution per Minute Gauge ili uweze kufahamu kama rotation ni kubwa kiasi gani na uepuka madhara ya kupasua engine au ni muda gani ubadili gear. Pia uweze kubalance matumizi ya mafuta.
Mfano kwa gari ndogo kuanzia 7,000 na 8,000 ina alama nyekundu ikiwa ni ishara kwamba mzuguko ukiwa mkubwa kiasi hicho parts za gari zinapata moto na kadri mzunguko unavyozidi ndo moto unazidi.
Ukizungusha engine na rpm ikafika mwisho kuna uwezekano mkubwa ukapasua engine.
Naona hukunielewa na labda pia wewe mwenyewe binafsi hujui kazi ya RPM Gauge.
Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
Hata gari yangu fundi anadai muffler imechoka..Inalia kama altezaa ile BuuuuhNimefika na tumekagua catalytic converter na muffler. Hakuna kilichoharibiwa wala kuonekana kilikatwa au kuchomelewa, bali ni muffler ndio imechoka, na imeanza kupiga kelele.