Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Aibu tupu aiseeBoss tutavaaje wakati tuliambiwa na baba kuwa tumishinda korona haiko Tanzania.
Acha tusubirie tamko lake LA Leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu tupu aiseeBoss tutavaaje wakati tuliambiwa na baba kuwa tumishinda korona haiko Tanzania.
Acha tusubirie tamko lake LA Leo.
[emoji28][emoji3]Sijawahi kumwamini hata sekunde moja
Boss tutavaaje wakati tuliambiwa na baba kuwa tumishinda korona haiko Tanzania.
Acha tusubirie tamko lake LA Leo.
Bonge la statement-yakuambia ongeza na za kwako bana.JK kavaa barakoa.
Kumbe hata alichokisema hulijui, haya msikilize
Hapa nipo pekee yangu, sijavaa barakoaUmevaa barkoa lakini.
Hata mimi simuoniIla Mimi simuoni Ndugaye ,yupo kweli?
Tofautisha nyakati kwa kuzingatia matukio na maneno ya wakati huu wa sasa na wakati uliopita kule chatoWeka na ya Kule chattle akiwa kanisani,alifurahia kuona watu hawajavaa barakoa.
Isije kuwa ni hayo hayoHata mimi simuoni
Too late wangu.Tofautisha nyakati kwa kuzingatia matukio na maneno ya wakati huu wa sasa na wakati uliopita kule chato
"Hakuweza kuja kwa sababu yupo mbali" toka kwa Naibu SpikaSimuoni kabisa, nipo mbele ya TV hapa
Too late kufanya niniToo late wangu.
Sawa"Hakuweza kuja kwa sababu yupo mbali" toka kwa Naibu Spika
Sasa mkuu mi pia Naangalia TV hapa ila naogopa kuisogelea kama wewe.Hapa nipo pekee yangu, sijavaa barakoa
The adamant ones in suits.Who is next? Stay tuned
Unafanya vyema kuchukua tahadhari mapemaSasa mkuu mi pia Naangalia TV hapa ila naogopa kuisogelea kama wewe.