Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Kama kawaida jembe kutoka Chato lenyewe halijisumbui na barakoa wala sanitizer, limeamua kuwa mstali wa mbele kwenye mapambano ya kuipuuza corona
 
Weka na ya Kule chattle akiwa kanisani,alifurahia kuona watu hawajavaa barakoa.
Tofautisha nyakati kwa kuzingatia matukio na maneno ya wakati huu wa sasa na wakati uliopita kule chato
 
Back
Top Bottom