Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Gwajima badala ya kumfufua marehemu anamwombea nini, UFUFUO na UZIMA haupo tena!!
 
... nawaona VP na PM hofu zimewajaa kweli; wangependa kuvaa barakoa ila wafanyeje wakati "hakuna Corona"? Kula matapishi kugumu asikuambie mtu. Namwona Mzee Kikwete na wananchi wengine wazalendo wa kweli wametinga barakoa hawataki longolongo za wanasiasa; afya ni suala binafsi. johnthebaptist, huo u-Dr. kwa marehemu Kijazi umemtunuku wewe ama?
 
... nawaona VP na PM hofu zimewajaa kweli; wangependa kuvaa barakoa ila wafanyeje wakati "hakuna Corona"? Kula matapishi kugumu asikuambie mtu. Namwona Mzee Kikwete na wananchi wengine wazalendo wa kweli wametinga barakoa hawataki longolongo za wanasiasa; afya ni suala binafsi. johnthebaptist, huo u-Dr. kwa marehemu Kijazi umemtunuku wewe ama?
JK ni kiongozi haswa
 
Kinachofanywa na raisi Magufuli ni kama unabii .Ili unabii utimie lazima iwepo imani. Na imani pasipo matendo imekufa.Raisi Magufuli amechukua tendo la imani kuwaambia watu waombe na kufunga siku 3 kuanzia leo!
 
Naona rais wetu mstaafu ndani ya barakoa

Safi sana mzee Kikwete
 
Mafua ya kubana ni ugonjwa gani wakuu,ni tofauti na pneumonia?.
 
Mungu kweli anatupenda watz ndiyo maana hatujaathirika sana na Mungu kweli huwa anasikia maombi yetu,hoja yangu nikwamba wajati covid inaingia Tz,kulikuwa natahadhari nzuri sana na kila mtu alikuwa mlinzi wa mwenzake kama kunawa na level seat kwenye magari ya abiria kama daladala.

Pamoja na maombi nadhani kwa mawazo yangu ilisaidia kupunguza maambukizi,saizi watu wamejiachia,ukivaa hata barakoa unaonekana mpinzani ( akili za wajinga),hakuna tahadhari tena.

Japo baadhi ya maeneo ya office za serikali bila barakoa na kunawa huingii.....mfano ni hapo Msimbazi Police bila barakoa na mask huingii.

Tuchukue tahadhari
 
Hivi mfano mmoja wa watendaji wa serikali akikacha hii Hafla sababu ya imani yake haba.Atatimuliwa kazi?
 
Nimemsikia kiongozi akisema "nalo tukisimama na Mungu tuamshinda"
 
Who is next? Stay tuned
Isaya 55:8-9 Maana mawazo yangu si mawazo yenu Wala njia zangu asema BWANA.kwa mahaana Kama vile mbingu zilivyo juu Sana kuliko nchi kadhalika njia zangu zi juu Sana kuliko njia zenu na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. jifunze kuishi kwa upendo ujui uendako
 
kituko...makamu wa rais, waziri mkuu, naibu spika hawajavaa barakoa ili kuunga mkono kauli ya mungu wa chatoo kwamba tz hakuna "kolona"!!!.

lakini familia yoote ya Kijazi wamevaa barakoa!!!.
Mkuu usimkufulu Mungu Kuna siku utamwitaji. alafu nazani unafahamu kuwa Mungu ni mmoja
 
Inaumiza na kushanagaza Sana viongozi wetu wote wa serikali hawajavaa barakoa wakati wanamuaga mh balozi kijazi. Rais mstàhafu kikwete amevaa ila makamu wa rais waziri mkuu naibu spika jaji mkuu na makamu wa Zanzibar wako exposed. Watu wa protokali mnawafanya viongozi wetu wawe exposed na vulnerable.
Kifo akikimbiwa as long as siku yako imefika uwezi kuzuia
 
Jk yuko smart anajiongeza, hawa wengine wanaogopa kutumbuliwa lakini body language yao tu unajuwa waoga mbona mikono hawapeani ila kuvaa barakoa wanaona issue, raia wa kawaida na wana kwaya wamejongeza wameshaona tunapotezwa. Shame kwa viongozi wa serikali. kusalimiana no ila barakoa.... ujinga wa kiwango cha lami
Mkuu punguza HOFU na chuki kifo kipo na akikwepeki ata ukizuie vipi Kama tu siku yako imefika
 
Back
Top Bottom