Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Msiba huu mzito ambao umeendelea kutokea "Msemaji wa Rais wa Zanzibar"
 
Mbunge wa Kawe Askofu Dkt. Gwajima ameongoza sala ya kumuombea marehemu Dr Kijazi nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam na sasa anaongoza msafara ambao umeanza kuelekea viwanja vya Karimjee ili viongozi na wananchi wapate fursa ya kutoa heshima za mwisho.

Zoezi la kutoa heshima za mwisho pale Karimjee itaongozwa na mkuu wa nchi Rais Magufuli

Up dates:



Viongozi wakuu wameshaketi sehemu zao na sasa anasubiriwa mh Rais Magufuli awasili ili shughuli rasmi ianze.

View attachment 1706115View attachment 1706116View attachment 1706117

Rais Magufuli ameshawasili na utaratibu unaanza rasmi na itaanza misa ya kumuombea marehemu.

Tuendelee kupatikana updates
 
Too late kufanya nini
Hakuna anaezingatia tena kuchukua tahadhari baada ya zilw kauli zake kuwa corona tulishaishinda.
Wat wakamwaga maji tiririka walioanzisha viwanda vya kutengeneza sanitizer vikakosa wateja.

Naonansasa mkombozi atakuwa chanjo.
 
Hakuna anaezingatia tena kuchukua tahadhari baada ya zilw kauli zake kuwa corona tulishaishinda.
Wat wakamwaga maji tiririka walioanzisha viwanda vya kutengeneza sanitizer vikakosa wateja.

Naonansasa mkombozi atakuwa chanjo.
Sema kwamba wewe ndio huchukui tahadhari. Mimi na wengine tunachukua tahadhari sana huku tukiomba Mungu

Linda afya yako mkuu
 
Hii familia ya kijaz wiki tatu nyuma wamezika kaka mkubwa huyu anaeagwa leo...
 
Gwaji Boy ni Mhuni tu fulani ....Kama kweli si basi afanye ile miujiza yake ya kufufua na kujifufua.......!!
Dini inatumika vibaya sana zama hizi, si viongozi wa dini, siasa na hata serikali wote wanafanana
 
Mpango anaendelea na mazoezi ya kifua. Corona si mchezo. Ona Magufuli kakaa sehemu peke yake kabisa.
 
Kwa mujibu wa maelezo ya Rais ni kwamba ni kweli hii shida ipo ila tupambane kimy kimya!
 
Hao walio kaidi kuvaa barakoa vip. Naona mzeee wa msoga katupia kabisa hataki utani na maigizo yenu
 
Mpango anaendelea na mazoezi ya kifua. Corona si mchezo. Ona Magufuli kakaa sehemu peke yake kabisa.
Rais ameongea vizuri
Hajataka waaibisha watendaji wake ..wizara ya afya
Ila
Tumemwelewa lila mmoja achukue tahadhari na amwombe Mungu kwa imani yake
 
Back
Top Bottom