Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Lissu anazidi kupotea,aache kubeza ya Magufuli atembee kwenye sera zake,yeye atafanya nini?
[/QUOTE)
Yeye na CHADEMA hawana SERA. Tuache ushabiki wa kisiasa jamani; tuseme kweli tu hata hao wagombea wao wa Ubunge na Udiwani pia ni hivyo hivyo tu. Wanaendekeza personality attacks tu na hayo ndiyo washabiki wao wanapenda, SIJUI NANI KAWAROGA? Anyway tuwape muda labda ni mapema mno kuwahukumu, labda wanangoja waziseme JIONI!
 
Wazungu walijenga kwa maslahi yao, sisi tunajijengea kwa maslahi yetu kama taifa.

Alafu mwambie, uhuru upi anaongelea ilihali tumetumia uhuru wetu kupambana na corona na tukafanikiwa?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Maslahi yenu wewee na Nani? Jiwe hafai hata Irene uwoya ama mchizi mox akiwa Rais anaweza tu kujenga reli.
He must go PERIOD
 
Tundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Tundu anastahili kuwa mbunge wa viti maalum vya raisi
 
Ndugu yangu ananiambia tumeenda kumwangalia lissu mkutanoni lengo letu tuone vyuma vyake mbona hakuja navyo? Amenifanya nicheke kwa nguvu
 
Tundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Mku kwani ni uongo. Kasome historia hata ya darasa la tano mwanaccm wenzangu. Tujenge hoja panapo hitajika
 
Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Lissu kabeba wasaanii 200, kama tu jana ilivyokuwa pale Arusha CCM waliwalipa simba wacheze kiingilio bure Lissu akakosa watu.
Lissu asikilize ushauri wa Magu, ajitoe urais Magu atampa kazi kama Mrema alivyopewa, atakuwa mkuu wa bodi ya PAROLE
 
Ndugu watanzania hizo; Ndege, Balabala, madalaja, flyover, step over, reli, shule, Hospitali, stendi za kisasa, bandari; za majini na nchi kavu, masoko nakadhalika havitumiwi na CCM pekee, wala havitumiwi kwa maslahi ya wanaCCM pekee. Hii ndio Tanzania yetu inapelekwa kileleni kwa style hii ndugu zangu...

Kwa Afrika ya sasa ni bahati sana kuwa na kiongozi mwenye dira kama JPM.

Anyway hatutachoka kuwakumbusha kwamba hii ni nchi ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali za kutosha na JPM amefanikiwa kuzitumia ipasavyo.

Wadau tuwe siriazi basi japo kwenye hili la kupinga maendeleo yetu wenyewe.


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Hao ni wengi kupita kiasi
Hivi kwa nn mnabeba wasanii?
Kuna mtu mmoja kaniambia ofisi leo huko Singida zilifungwa na wote kuambiwa kwenda kumsikiliza rais.
Magari ya matangazo yalikuwa yanapita mitaani kutanga uwepo wa wasanii karibu 100 kwenye uwanja wa kampeni ya JPM.
 
Hao wasanii hawapigi kura? kwa nini hawajajitolea kumnadi wenu? ujue uchaguzi huu hakuna msanii anayelipwa na chama, wote wamejitolea kutokana na mapenzi yao kwa JPM.
Kwani kwa Ccm wamejitolea?
Wewe jamaa mi bumunda + sukule kweli kweli.
 
Tundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Lissu mpaka ikifika siku ya 30 atakua amejimaliza kabisa...hoja gani hizi
 
Back
Top Bottom