Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Haha unaota subirini mwenye Mwanza yake afike mtajificha uvunguni siku hiyo.ccm ni mwanza na mwanza ni ccm, shinyanga, Geita simiyu na Kagera kote chadema andikeni maumivu ya kifua kikuu.Huko ndiyo kuna kura 12 million za Magu labda muokoze za ziada.