Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,379
- 1,069
Hiyo ilishachuja njooni na mpya.Si kwa uchaguzi ulio huru na wa haki, hapana. Madikteta siku zote hubaki madarakani kwa mabavu. Sijui ili abaki madarakani safari hii wangapi watatekwa, wangapi watateswa, wangapi watamiminiwa risasi. Hata kwa Hilter ilikuwa hivyo hivyo lakini siku ya siku ilipofika alikimbia mwenyewe akitafuta pa kujificha.
MAGUFULI4LIFE.