Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha...Lissu hatozidi single digit mkuu, tuko hapa, 2%-9% ya kura zote.1.5 nakwambia lissu anapata 5m+labda aibiwe
Watu waache kumshangaa magufuli anayetoa ahadi hewa waje wamshangae lissu tuliza kichwa hicho mzeeWatu wanamshangaa tu
Uwanja katikati hamna kitu, picha inavyochukuliwa sasani mkakati fulani hivi
Si kwa uchaguzi ulio huru na wa haki, hapana. Madikteta siku zote hubaki madarakani kwa mabavu. Sijui ili abaki madarakani safari hii wangapi watatekwa, wangapi watateswa, wangapi watamiminiwa risasi. Hata kwa Hilter ilikuwa hivyo hivyo lakini siku ya siku ilipofika alikimbia mwenyewe akitafuta pa kujificha.MAGUFULI4LIFE.
Hao ni wengi kupita kiasiUwanja katikati hamna kitu, picha inavyochukuliwa sasa
Nani kawadanganya tuliokuja uwanjani ni wapiga kura wa Lissu? watu tumekuja kushangaa muujiza unaotembea, subirini mwanaume atapoutapisha CCM Kirumba.Lissu kafunika vibaya Mwanza songa mbele kama unakubalika huko basi kwingine ni mdebwedo tu peopleeeeeess!
Kuna moja wanaimba mwimbo wa Bob Marley “one love” mpaka rahaGreat! Hakun aliyewekewa mafuta, upendo unatoka rohoni!
Hakuna wasaniii hapa bali wanaanchi wanyonge walioumizwa na sera za Jiwe..Hao ni wengi kupita kiasi
Hivi kwa nn mnabeba wasanii?
Great!Kuna moja wanaimba mwimbo wa Bob Marley “one love” mpaka raha
Nani alisema chadema imezikwa, tutaanzia kumchapia hukuhuku kwao mwanzaMwanza mnaongoza njia safi sana akina ngosha.
Haya na hakuna msanii hapo tafauti na kwa magu watu wanakwenda kuona wasanii.Nani kawadanganya tuliokuja uwanjani ni wapiga kura wa Lissu? watu tumekuja kushangaa muujiza unaotembea, subirini mwanaume atapoutapisha CCM Kirumba.
Wanamshangaa tu mkuu hana jipyaWatu waache kumshangaa magufuli anayetoa ahadi hewa waje wamshangae lissu tuliza kichwa hicho mzee