Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Mungu ibariki Chadema
Tundu Antipas Lissu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Mwanza kwa kishindo kikubwa.

Akiambatana na Mgombea Mwenza pamoja na Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe mgombea huyo amelakiwa na umati mkubwa wa watu ambapo maandamano yameanzia katika Uwanja wa ndege kuelekea Uwanja wa Furahisha.

Msururu mkubwa wa Bodaboda,magari na watu kujipanga kandokando ya Barabara ndivyo vilivyopamba mapokezi yake.
View attachment 1555426View attachment 1555429View attachment 1555430View attachment 1555431View attachment 1555432
Naotoa rai siku mbili kabla ya kupiga kura Wakristo na Waislam tufunge na kusali wale wote wenye nia ovu au wenye mpango wa kufanya kinyume na matakwa ya wananchi wanyonge Mwenyezi Mungu akawaeleleze mchana kweupeee naaamini MUNGU atasikia na atajibu maombi yetu .
 
Baada ya mahudhurio viwanjani kudoda Chadema wamehamia kwenye mapokezi ambapo wanakodi bodaboda na honi zao na mbwembwe zao za uendeshaji na kulipa vijana wa kuruka ruka njiani Kama chura katumbukia kwenye sufuria la moto la mpika supu ili kuvutia mabarabarani watu wawasogelee kuwaona Halafu wanasema cheki anavyokubalika!!!

Nenda viwanjani uone vituko bodaboda wote wakishamfikisha uwanjani wanambwaga Hapo hapo hao wanaondoka zao kuendelea na shughuli zao hawana Mpango na Mkutano wake

Anayebisha aeleze huo umati wa bodaboda mbona hazionekani hapo mkutanoni zimepaki kusikiliza mgombea?

Cha kukodi hakikai mkutanoni!!!!
 
Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!


Hivi kumbe uko empty namna hii kichwani? Sikuwahi kujua ..dah...wewe umesoma had level gani kwanza!!!!
 
Ficha upumbavu wako wewe, si lazima kila jambo ulizungumzie! Malaria ipo Tabora na Singida itakosa Mwanza? Eti Mwanza wana afya! Sogea hapo Bugando uone wasukuma wanavyotaabika.

Kuna mwanadamu wa leo asiyehitaji bima? Kujua umuhimu wa bima kunahitaji hata elimu ya chekechea? Uvyama usitutoe akili. Tumia nafasi yako kuwashauri wakubwa wa chama chako kutambua na kuboresha huduma muhimu za kijamii kwa wananchi pale mnapopata fursa ya kuongoza, si kuwafanya wananchi mazuzu.


Akilinyake Ina utasa
 
Tundu Lissu akitaka Kura, anachopaswa kufanya ni kuzungumzia vizuri issue ya Maji. Mwanza tunapata tabu Sana ya Maji. Maji shida Sana na wakati ziwa lipo karibu tu mita chache.

Hadi aibu jamani...hivi shida ni nini
 
Tundu Antipas Lissu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Mwanza kwa kishindo kikubwa.

Akiambatana na Mgombea Mwenza pamoja na Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe mgombea huyo amelakiwa na umati mkubwa wa watu ambapo maandamano yameanzia katika Uwanja wa ndege kuelekea Uwanja wa Furahisha.

Msururu mkubwa wa Bodaboda,magari na watu kujipanga kandokando ya Barabara ndivyo vilivyopamba mapokezi yake.
View attachment 1555426
View attachment 1555429View attachment 1555430View attachment 1555431View attachment 1555432
Yaani watu ni kiducha sana!! Alifikiri hapa Mwanza ni Kanda ya Kaskazini eeeh!!
 
Nisiwachoshe wana JF
Kamanda Lissu leo yuko mwanza baada ya show ya kibabe huko Arusha jana.

Watoto wa mjini wanasema kitimutimu kimeingia leo kwenye nyumba ya shetani mwendawazimu kaingiaje? I

Leo mwanaume katimba ndani ya mwanza, kwenye ngome ya wale jamaa, wananchi wamempa mapokezi makubwa ajabu.

Kama mwanza imekubali namna hii, Jiwe anangoja nini kufungasha virago vyake maana muda aliopanga kwenye nyumba yetu umeisha na tumepata mpangaji mpya anayelia kwa wakati naye ni mbeba maono Tundu Antipas Lissu

View attachment 1555468
Vibaka watupu, Hawa vijana wakikurya wa heche watatuharibia nchi
 
Back
Top Bottom