Nisiwachoshe wana JF
Kamanda Lissu leo yuko mwanza baada ya show ya kibabe huko Arusha jana.
Watoto wa mjini wanasema kitimutimu kimeingia leo kwenye nyumba ya shetani mwendawazimu kaingiaje? I
Leo mwanaume katimba ndani ya mwanza, kwenye ngome ya wale jamaa, wananchi wamempa mapokezi makubwa ajabu.
Kama mwanza imekubali namna hii, Jiwe anangoja nini kufungasha virago vyake maana muda aliopanga kwenye nyumba yetu umeisha na tumepata mpangaji mpya anayelia kwa wakati naye ni mbeba maono Tundu Antipas Lissu
View attachment 1555468