mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 482
Lissu anazidi kupotea,aache kubeza ya Magufuli atembee kwenye sera zake,yeye atafanya nini?
[/QUOTE)
Yeye na CHADEMA hawana SERA. Tuache ushabiki wa kisiasa jamani; tuseme kweli tu hata hao wagombea wao wa Ubunge na Udiwani pia ni hivyo hivyo tu. Wanaendekeza personality attacks tu na hayo ndiyo washabiki wao wanapenda, SIJUI NANI KAWAROGA? Anyway tuwape muda labda ni mapema mno kuwahukumu, labda wanangoja waziseme JIONI!
Maslahi yenu wewee na Nani? Jiwe hafai hata Irene uwoya ama mchizi mox akiwa Rais anaweza tu kujenga reli.Wazungu walijenga kwa maslahi yao, sisi tunajijengea kwa maslahi yetu kama taifa.
Alafu mwambie, uhuru upi anaongelea ilihali tumetumia uhuru wetu kupambana na corona na tukafanikiwa?
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Tumemuuliza akajibu hadi hawara ya bibi yako mzaa babu yako atakaporidhiaHuko Mwanza muulizeni Lisu lini tutashitakiwa MIGA?
Tundu anastahili kuwa mbunge wa viti maalum vya raisiTundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Kibasila ilikuwa ya waghoaAmetisha. Wakoloni walijenga reli, barabara, shule, vyuo, hospitality, elimu bure, matibabu bure, maji bure, lakini tulikosa kitu kikubwa kuliko vyote,...UHURU
Hilooooo hata haichekeshiTundu anastahili kuwa mbunge wa viti maalum vya raisi
Look at this reply, halafu mnasema Lissu awe na SERA wakati wafuasi wake ni MATUSI TU. Mtoto wa nyoka ni nyoka au siyo!?Tumemuuliza akajibu hadi hawara ya bibi yako mzaa babu yako atakaporidhia
Ratiba umeangalia? Umeambiwa anatambulishwa kanda zote kwanza ndio aanze jimbo kwa jimbo.Mimi namshangaa Lisu! Yani siku nzima anapiga kampeni mkutano mmoja?
Tayari nimeshakuwini kisaikolojiaLook at this reply, halafu mnasema Lissu awe na SERA wakati wafuasi wake ni MATUSI TU. Mtoto wa nyoka ni nyoka au siyo!?
Mku kwani ni uongo. Kasome historia hata ya darasa la tano mwanaccm wenzangu. Tujenge hoja panapo hitajikaTundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Lissu anazidi kupotea,aache kubeza ya Magufuli atembee kwenye sera zake,yeye atafanya nini?
Lissu kabeba wasaanii 200, kama tu jana ilivyokuwa pale Arusha CCM waliwalipa simba wacheze kiingilio bure Lissu akakosa watu.Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Huyu vipi? Matusi yana win psychologically? Kama ni hivyo HONGERA!Tayari nimeshakuwini kisaikolojia
Kuna mtu mmoja kaniambia ofisi leo huko Singida zilifungwa na wote kuambiwa kwenda kumsikiliza rais.Hao ni wengi kupita kiasi
Hivi kwa nn mnabeba wasanii?
Kwasababu umenijibu baada ya kuinflict pain. Pata maumivu kimyakimya weweeHuyu vipi? Matusi yana win psychologically? Kama ni hivyo HONGERA!
Kwani kwa Ccm wamejitolea?Hao wasanii hawapigi kura? kwa nini hawajajitolea kumnadi wenu? ujue uchaguzi huu hakuna msanii anayelipwa na chama, wote wamejitolea kutokana na mapenzi yao kwa JPM.
Lissu mpaka ikifika siku ya 30 atakua amejimaliza kabisa...hoja gani hiziTundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Kwani Magufuli anafanya kampeni moja kwa siku? Thubutuuu!!!Lisu anamuiga Magufuli?
Basi sawa.