Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Karibu sana
[/QUOshukran mkuu,ila cjajua n muda gan maana m nipo maeneo ya igoma hiv,ingekuwa vzur tukaipata ratiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana
[/QUOshukran mkuu,ila cjajua n muda gan maana m nipo maeneo ya igoma hiv,ingekuwa vzur tukaipata ratiba
CHDM ruzuku mmepeleka wapi? Mbona hata matangazo hakuna? Maana huku watu Wala Hawana taarifa,au mpaka tuingie jf? Na you tube? au ndo mikakati ya mbowe kumhujumu Lisu ishaanza? Safari hii mbowe atauza hadi mgombea heheheeee.Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.
Karibu sanaLazma niendeee
Acha blah blahAmekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi
Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema
Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Usijali mkuu, tupo tayari kumpokeaMwanza msituangushe.Huyo ndo mtetezi wa kweli wa wanyonge....
Maskini Afisa Elimu huyu hajui lolote kuhusu democrasia ,hajui lolote kuhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa,dah walimu wana kazi jamani kwanini sijawahi kusikia mganga mkuu wa mkoa akiwaambia maneno kama hayo madaktari walio chini yake? huyu kwanza anatakiwa afunguliwe mashtaka ya matumizi mabaya ya ofisi ya uma.
Umepaniki sio! Tutampokea kwa kishindoAmekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi
Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema
Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
```BAADHI YA TOFAUTI YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM NA CHADEMA MWAKA 2020Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
```BAADHI YA TOFAUTI YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM NA CHADEMA MWAKA 2020CHDM ruzuku mmepeleka wapi? Mbona hata matangazo hakuna? Maana huku watu Wala Hawana taarifa,au mpaka tuingie jf? Na you tube? au ndo mikakati ya mbowe kumhujumu Lisu ishaanza? Safari hii mbowe atauza hadi mgombea heheheeee.
Muulize meko na chakubangawasanii watakuepo wangapi?
Mbona gari la matangazo linapita sehemu mbalimbali kutangaza?Mmmm mbona mwanza hakuna taarifa? CHDM ruzuku mmepeleka wapi?
Hahahaha!!! YEHODAYA nimecheka kwa sauti, eti wanatumia dawa za kienyeji. Hahaha!!!Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Mbona gari la matangazo linapita sehemu mbalimbali kutangaza?
[/QUOTE.
So kweli halijaonekana mitaani
Huyu dada anahangaika sana. Angalia post zake kwenye huu uzi ziko ngapi then utajua hali aliyonayo. Huenda alkuwa sehemu ya walengaji, sasa kumwona TAL akiwa mwenye afya njema anasutwa na nafsi lakini pia harufu ya damu aliyoimwaga. Angalia hoja zake, hakuna hata moja yenye mashiko.Acha blah blah
ule mtiti wa Arusha Jana si mchezo aisee,Ni kama vile watu wanahasira mioyoni.Juzi segerea watu wangefika hadi ubungo wakimsindikiza Lissu sema busara zilitumika kupunguza msongamano ikabidi wachape mwendoMgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.