Make wa lissu hapa atajisikia wivu.View attachment 1555051
Jamani hili bango la kampeni vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Make wa lissu hapa atajisikia wivu.View attachment 1555051
Jamani hili bango la kampeni vipi
Ficha upumbavu wako wewe, si lazima kila jambo ulizungumzie! Malaria ipo Tabora na Singida itakosa Mwanza? Eti Mwanza wana afya! Sogea hapo Bugando uone wasukuma wanavyotaabika.Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Ushasema wasanii kuna nini tena hapo maana yake waongo waongo wananchi wanataka sera na mustakabali wa maisha yao ya miaka mitano usituchukulie poawasanii watakuepo wangapi?
Salamu mlishazipata kwa Pambalu pale nyamagana juziAnaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli
Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
kona ya bwiru mzeeNiko Mwanza.. sehemu gani pazuri pakulia tungi?
Safi ndugu ,kuna wengine humu wana leta mzaha kwa afya za watu.Tuendelee kuelimishana .Ficha upumbavu wako wewe, si lazima kila jambo ulizungumzie! Malaria ipo Tabora na Singida itakosa Mwanza? Eti Mwanza wana afya! Sogea hapo Bugando uone wasukuma wanavyotaabika.
Kuna mwanadamu wa leo asiyehitaji bima? Kujua umuhimu wa bima kunahitaji hata elimu ya chekechea? Uvyama usitutoe akili. Tumia nafasi yako kuwashauri wakubwa wa chama chako kutambua na kuboresha huduma muhimu za kijamii kwa wananchi pale mnapopata fursa ya kuongoza, si kuwafanya wananchi mazuzu.
Hana Hoja yoyoteHuyu dada anahangaika sana. Angalia post zake kwenye huu uzi ziko ngapi then utajua hali aliyonayo. Huenda alkuwa sehemu ya walengaji, sasa kumwona TAL akiwa mwenye afya njema anasutwa na nafsi lakini pia harufu ya damu aliyoimwaga. Angalia hoja zake, hakuna hata moja yenye mashiko.
Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli
Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Amekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi
Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema
Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Tunaishukuru sana Molemo media , usisahau kusajili camera yako ya drone hapo mwanza kwa gharama ya tsh laki 1Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.
MAMBO YA SIKU 100 ZA KWANZAKingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Nenda mtaa wa makoroboi kuna ving'ast vya kutoshaNiko Mwanza.. sehemu gani pazuri pakulia tungi?
[emoji38][emoji38][emoji38] mataga buana! Busisi ni Mwanza mjini?! Sisi wana Mwanza jiji hatujasahau tulikuwa na soko kuu lakin hivi Sasa hatuna, tulikuwa na stand ya mabasi pale Nyegezi Sasa hivi hatuna. Na tunajua kabisa pesa tulizofadhiriwa na world Bank kwa ajili ya miradi hiyo jiwe alizichukua akazihamishia chamwino kujenga makazi yake. Sasa tumeamua kura zetu zote kwa MH. Tundu Lissu.Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli
Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Mwanza watu Wana pesa wewe mijini Hadi vijijini soda kukuta kijijini inauzwa elfu moja sio kitu Cha ajabu sababu ni kuwa vijijini Kuna utajiri wa mifugo,pamba na samaki na dhahabu Purchasing power Yao iko juu .Mjini Wana hela na vijijini Wana hela hiyo ndio sababuLakini wenyeji wanakula samaki kwa bei ghali
Tutahakikisha Wananchi wanaacha kula mapanki mara mojaAmekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi
Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema
Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Buzuruga jana limepita gari la matangazo likitangazaCHDM ruzuku mmepeleka wapi? Mbona hata matangazo hakuna? Maana huku watu Wala Hawana taarifa,au mpaka tuingie jf? Na you tube? au ndo mikakati ya mbowe kumhujumu Lisu ishaanza? Safari hii mbowe atauza hadi mgombea heheheeee.
Kuna watu wa ajabu sana ambao naamini uelewa wanao wa kutosha ila wanajitoa ufahamu tu kwa maslahi binafsi. Huku vijijini watu wanakufa kizembe sana kwa kukosa fedha za matibabu kidogo tu ambazo kwao in kubwa sana anaogopa kwenda hata zahanati kwa kuogopa hizo gharama hizo kumbe Israel naye hachezi mbali.Safi ndugu ,kuna wengine humu wana leta mzaha kwa afya za watu.Tuendelee kuelimishana .
Hahahha ni kama vile kiba anayo ndege sema tu hapendi kujionesha[emoji23]ule mtiti wa Arusha Jana si mchezo aisee,Ni kama vile watu wanahasira mioyoni.Juzi segerea watu wangefika hadi ubungo wakimsindikiza Lissu sema busara zilitumika kupunguza msongamano ikabidi wachape mwendo
Ni idadi gani ya wapiga kura wote? Jitu Lina vyeti feki Nani analitaka pumbafu zake .CCM hatutaki kura zao Tena waambieni kabisa hatuzitaki.Jitu linazibia nafasi ya vijana wamekesha wakisoma hawalali wapate vyeti halali lenyewe linaenda kubana nafasi .Hata wakija Mkutano wa CCM Mimi nikiwajua nitawakimbiza na panga waje kwenye mikutano yenu Chadema matapeli wenzaoHata wale hawajapandishiwa mishahara na wa vyeti feki huwaambii kitu
Bugando na sekou toure kumefurika wagonjwa tele, hospital ya Butimba, vituo vya afya Kama vile buzuruga, nk watu wamefurika, unadhani hizo ni kumbi za harusi na hao watu wako harusini?!Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!