Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

MIMI NAWAONEA HURUMA TU WATANI ZANGU WANYALU WA IRINGA MJINI, KWA CCM KULISIMAMISHA SHANGINGI LA MJINI LILILOOLEWA NA KUACHIKA ZAIDI YA MARA 10.
 
Acha uzwazwa wewe. Tembelea bugando uone kama watu hawaugui ovyo. Hospital zipo full halafu mjinga mmoja kisa siasa unaleta undezi eti watu hawaugui ovyo mfyuuu zako
Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
 
Tofauti ya Lisu na Lowasa Mwanza inaonekana live Leo Enzi zake Lowasa asubuhi mapema viwanja vya furahisha vilikuwa vimeshajaa

Sasa hivi hamna kitu.Tutaweka picha za waliohudhuria Leo na wale wa 2015 wa Lowasa.

Uone Chadema ilivyodorora
 
Amekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi.

Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema.

Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Chadema mazombi sana wanapiga vita ununuzi wa ndege, lakini Lissu anatumia ndege hizo kusafiri kuwahi mikutano,Dar to Kilimanjaro na Kilimanjaro to Mwanza.

Mwanza hawatamuelewa kabisa mji ule ulikuwa kimya kwa miaka 25 bila kusikika kwa HORN ya Meli kubwa.HORN hiyo imerudishwa na JPM kwa kutupia meli mbili kubwa MV Victoria na MV Butiama aka HAPA KAZI TU. Kanda ya ziwa symbol kuu ni Meli na HORN zake zinapopigwa kuashiria kung'oa au kutia nanga you always feel the environment of the beautiful ROCK CITY.Tundu Lissu hana cha kusema pale.Magu ni mtoto wa Mwanza
 
Ni idadi gani ya wapiga kura wote? Jitu Lina vyeti feki Nani analitaka pumbafu zake .CCM hatutaki kura zao Tena waambieni kabisa hatuzitaki.Jitu linazibia nafasi ya vijana wamekesha wakisoma hawalali wapate vyeti halali lenyewe linaenda kubana nafasi .Hata wakija Mkutano wa CCM Mimi nikiwajua nitawakimbiza na panga waje kwenye mikutano yenu Chadema matapeli wenzao
Mbona Bashite na Lameki Madilu walikuwepo, au hukuwa na panga kule Jamuhuri Dodoma?
 
Sisi tuneshawasili Mwanza tayari kumpokea Mh Rais Tundu Lissu....
Uzuri hata shule zimefunga so waalimu na wafanyakazi wameahidi kumsikiliza rais wa matarajiio yao....

Updates to follow soon....
 
Tundu Lissu akitaka Kura, anachopaswa kufanya ni kuzungumzia vizuri issue ya Maji. Mwanza tunapata tabu Sana ya Maji. Maji shida Sana na wakati ziwa lipo karibu tu mita chache.
Kabisa mkuu... Ukiwa mikoa mungine unaweza kudhani Mwanza hakuna shida ya maji.... Yani ni aibuuu
 
Hongera zenu. Naomba huko kannda ya ziwa mkutano mmoja uwe Chato tena ikiwezekana iwe pale pale nyumbani kwa Nduli Idd Amin
Dada au mobutu seseseko kuku wazabanga
 
Kuna umuhimu wa barabara zinazoingia jijini Mwanza ziwe njia nne kutokea Kisesa na Usagara.itapendeza
 
Mwanza watu Wana pesa wewe mijini Hadi vijijini soda kukuta kijijini inauzwa elfu moja sio kitu Cha ajabu sababu ni kuwa vijijini Kuna utajiri wa mifugo,pamba na samaki na dhahabu Purchasing power Yao iko juu .Mjini Wana hela na vijijini Wana hela hiyo ndio sababu
Hizo hela unawapa wewe? Hao wasukuma hawana lolote kazi kuhama hama kutafuta maisha mazuri
 
ILA NAONA CCM wako kimya, Nadhani wamewaacha chadema waanza ili wao wawe wa mwisho, kupoteza memory ya wapiga kura wa lissu.
 
ILA NAONA CCM wako kimya, Nadhani wamewaacha chadema waanza ili wao wawe wa mwisho, kupoteza memory ya wapiga kura wa lissu.
Tutarudi awamu ya mwisho kufunika mashimo hayo machafu ya ccm
 
Back
Top Bottom