Toka waende dodoma sijawasikia tena. Unategemea mtu kwma Ndugai angefanya vipi Kampeni?? Mwili wenyewe afya iko wapi??Ccm wamechoka wamekua wazee hawana nguvu tenaaaa..... Kimoko tu chaliiii.....
Tundu Lissu Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka waende dodoma sijawasikia tena. Unategemea mtu kwma Ndugai angefanya vipi Kampeni?? Mwili wenyewe afya iko wapi??Ccm wamechoka wamekua wazee hawana nguvu tenaaaa..... Kimoko tu chaliiii.....
Tundu Lissu Rais
Mwanahabari msituangueshe. Hongereni kwa kazi nzuri mnayofanya.Tutakuwa Live
Tunashukuru Sana mwanahabari wetu usiye na upendeleoTutakuwa Live
Ha ha haa. .Mpango huo ulifeli Arusha Jana BIG TimeLeo hakuna mechi ya bure mwanza?
Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli. Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Kuna majina si ya kuwapa watoto. Wazee tunakosea sana!Maskini Afisa Elimu huyu hajui lolote kuhusu democrasia ,hajui lolote kuhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa,dah walimu wana kazi jamani kwanini sijawahi kusikia mganga mkuu wa mkoa akiwaambia maneno kama hayo madaktari walio chini yake? huyu kwanza anatakiwa afunguliwe mashtaka ya matumizi mabaya ya ofisi ya uma.
Pambana lissu tupo nyuma yako.Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.
Chadema katika uchaguzi mkuu huu inatumia kauli Mbiu ya Uhuru,Haki na Maendeleo ya watu.
#UhuruHakiNaMaendeleoyawatu#
#Niyeye2020#
Ulitaka waruhusu wanafiki wale kurusha maudhui yanayowapendeza wao t? Bora waliwafukuza.Cdm muliwafukuza TBC kwenye mikutano yenu wakati hata ile online tv yenu imewashinda kurusha live mikutano yenu. Aibu sana.
Sheria ganiHivi kisheria Tundu anaruhusiwa kukanyaga ardhi ya Mwanza?
Mshangao...!!! Halafu wamewekwa hapo wapigwe hiyo picha
Kama online tv yao imewashinda kuendesha nchi wataiwezea wapi!!!?????Cdm muliwafukuza TBC kwenye mikutano yenu wakati hata ile online tv yenu imewashinda kurusha live mikutano yenu. Aibu sana.
Sato bei kwa sisi walalakufa haishikiki. Tunaambulia mchuzi wa panki wanaouzwa hapo Mwanza south. Bei ya panki ni saizi yetu. "Mhuuu. Mayu wane"!!!Ulishaona wauza mapanki Mwanza wangap? Kila Kona sato kibao